MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 812
- 585
Habari za wakati huu wana_jukwaa? Ni imani yangu mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji:
1. Kuweka windows 10 pro na drivers zake kwenye Kompyuta ikiwa ni pamoja na Antivirus.
2. Ku install softwares kadhaa katika kompyuta:
I. Adobe : Photoshop, InDesign & Illustrator
II. Figma
III. Canva
IV. Gravit Designer
V. Audacity
VI. QQ player
NIPO DAR ES SALAAM.
Natanguliza shukrani.
Ahsante.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji:
1. Kuweka windows 10 pro na drivers zake kwenye Kompyuta ikiwa ni pamoja na Antivirus.
2. Ku install softwares kadhaa katika kompyuta:
I. Adobe : Photoshop, InDesign & Illustrator
II. Figma
III. Canva
IV. Gravit Designer
V. Audacity
VI. QQ player
NIPO DAR ES SALAAM.
Natanguliza shukrani.
Ahsante.