MSAADA: Nahitaji kubadili Window OS na kuweka softwares kadhaa katika kompyuta yangu

MOSintel Inc

JF-Expert Member
Mar 24, 2016
812
585
Habari za wakati huu wana_jukwaa? Ni imani yangu mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji:

1. Kuweka windows 10 pro na drivers zake kwenye Kompyuta ikiwa ni pamoja na Antivirus.

2. Ku install softwares kadhaa katika kompyuta:

I. Adobe : Photoshop, InDesign & Illustrator

II. Figma

III. Canva

IV. Gravit Designer

V. Audacity

VI. QQ player

NIPO DAR ES SALAAM.

Natanguliza shukrani.

Ahsante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom