Msaada tutani: Mwenye mkataba wa biashara ya Bodaboda

NAUOMBA NA MM HUO MKATABA TAFADHALI.... MWENYE NAO NAOMBA UNI PM.... ASANTE
 
Uchambuzi mzuri sana
Hii biashara kwa mkataba haina faida hata kidogo

Pikipiki inauzwa 2.5 million. Mkataba unaweka wa miezi 10 ambao ni sawa na kulipwa Tsh million 3 (10,000×30×10= Tsh 3,000,000=) kwa mwaka. Na baada ya hapo mkataba unaisha.

Hiyo ni sawa na kwa siku kuingiza faida ya Tsh 50,000/= kwa mtaji wa Tsh 2,500,000/=

Hapo sijaongelea risk kama pikipiki kuibiwa, kupata ajali, kupata dereva kimeo n.k

Hata mkataba ungekuwa wa miezi 12, bado faida itakuwa ni Tsh 91,000/= kwa mwezi, faida hii ni ndogo sana ukilinganisha na mtaji unaoweka. Mimi naona njia sahihi ya kufanya hii biashara bado ni kuletewa kiwango cha siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom