white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,277
- 13,212
Ni yoyote tu ila iwe mpya/ilko kwenye hali nzuri kama mpya,mambo mengine ni makubaliano tuMkuu ni pikipiki ya aina yoyote au ni boxer tu ,, ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yoyote tu ila iwe mpya/ilko kwenye hali nzuri kama mpya,mambo mengine ni makubaliano tuMkuu ni pikipiki ya aina yoyote au ni boxer tu ,, ?
Ni yoyote tu ila iwe mpya/ilko kwenye hali nzuri kama mpya,mambo mengine ni makubaliano tu
Tafadhar na mimi nina shida na mkataba. msaada pliz
Mkuu chungulia pmMkuu kwema? Tafadhali kama hutojali nami naomba nakala ya hiyo template ya mkataba. Natanguliza shukrani
Cheki pm mkuuNamimi naomba mkuu
Habari mkuu.Nami naiomba piamkuu nimekutumia sampe PM. angalia kama inaweza kukufaa
Cheki pm mkuu
Mkuu niwekee namimi huo mkataba tafadharMkuu chungulia pm
Habari mkuu. Naomba nitumie pia sample ya huo mkatabaCheki pm mkuu
Huko PM ndo sehem gan mnakokutania kias wengne tusiafford kufika huko nas tufaidike?Habari mkuu. Naomba nitumie pia sample ya huo mkataba
Nikipata time tomorrow nitaupost maana naona watu wanapenda PM huko ambako hatupajui ss wanyarubanja systemWakuu....naomben mwenye huo mkataba anisaidie na mm nimkabidhi mtu chombo wadau
Sawa mkuu utakuwa umetusaidia wanakijiji wenzioNikipata time tomorrow nitaupost maana naona watu wanapenda PM huko ambako hatupajui ss wanyarubanja system
Naomb umitumie mkuuCheki PM yako mkuu
Mkuu na Mimi nifowadie huo mkataba.AsanteCheki PM yako mkuu.
Hii biashara kwa mkataba haina faida hata kidogo
Pikipiki inauzwa 2.5 million. Mkataba unaweka wa miezi 10 ambao ni sawa na kulipwa Tsh million 3 (10,000×30×10= Tsh 3,000,000=) kwa mwaka. Na baada ya hapo mkataba unaisha.
Hiyo ni sawa na kwa siku kuingiza faida ya Tsh 50,000/= kwa mtaji wa Tsh 2,500,000/=
Hapo sijaongelea risk kama pikipiki kuibiwa, kupata ajali, kupata dereva kimeo n.k
Hata mkataba ungekuwa wa miezi 12, bado faida itakuwa ni Tsh 91,000/= kwa mwezi, faida hii ni ndogo sana ukilinganisha na mtaji unaoweka. Mimi naona njia sahihi ya kufanya hii biashara bado ni kuletewa kiwango cha siku.