Madish Installers
Member
- Aug 16, 2020
- 37
- 48
Habari wadau!
Hivi ikitokea gari imeandikiwa then ukalipa kwa kutumia wakala wa bank, baadae kama miezi minne unakamatwa gari inadaiwa deni lile lile ni nini unapaswa kufanya?
Receipt ipo ila imefutika maandishi..
Hivi ikitokea gari imeandikiwa then ukalipa kwa kutumia wakala wa bank, baadae kama miezi minne unakamatwa gari inadaiwa deni lile lile ni nini unapaswa kufanya?
Receipt ipo ila imefutika maandishi..