Msaada tutani: Je, website hii iliyokuwa inatoa Salary Slips nayo pia ilikuwa ni ya Serikali?

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
10,315
6,845
Site yenyewe hii hapa:


Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017

  • Salary slip ya kwanza niliyopata kutoka kwenye website hii ni ya March 2017
  • Niliendelea kupata Salary slip hizi hadi December 2018
  • Baada ya hapo, kuanzia February 2018 site ikawa inarudisha ujumbe kuwa iko kwenye matengenezo hadi leo
  • Kuanzia pale sina Salary Slip hadi leo
  • Nikijaribu kujisajili kule kwingine Wizara ya Fedha, Napata ujumbe kuwa Chek Namba, e-mail address pamoja na namba yangu ya simu nilivyotumia tayari vilshatumika na mtu au watu wengine
Attachment mbili zilizopo hapo chini zinaonyesha home page yake namna ilivyotokea jana tarehe 13/01/2021, lakini sikuweza ku-login, ilikuwa inaleta time-out error. Nimejaribu leo tena tarehe 14/01/2021, imeanza tena kuleta ujumbe “MFUMO HUU KWA SASA UPO KWENYE MATENGENEZO SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA. ASANTE”. Huu ni ujumbe ambao nimekuwa nikiupokea tangu February 2018 na sina Salary Slips tena kuanzia pale hadi leo.

Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?
 

Attachments

  • Welcome _ Watumishi Portal.pdf
    151.1 KB · Views: 35
  • watumishiportal.utumishi.go.pdf
    20.7 KB · Views: 21
Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?
Weka hapa salary slip mbili; ya enzi za utumishi portal moja na enzi hizi za wizara ya fedha, tutakujulisha kama ile ilikuwa genuine ama la.
 
Kwenye system ya Wizara ya Fedha kuna namba za simu, jaribu kuwapigia simu upate msaada.
 
Weka hapa salary slip mbili; ya enzi za utumishi portal moja na enzi hizi za wizara ya fedha, tutakujulisha kama ile ilikuwa genuine ama la
Niliwahi kujisajili watumishi portal peke yake, sikuwa na haja ya kujisajili mara mbili kwa sababu site moja ilikuwa inanitosha.. Baada ya hii ya kwanza ku-backfire, ndiyo nikajaribu mof ambako nako kumegoma, naambiwa particulars zangu tayari zilishatumika wakati huko sikuwa nimewahi kujisajili. Salary Slip ni kitu ambacho ni too personal, huwezi ukakiweka humu jukwaani.
 
Baada ya hii ya kwanza ku-backfire, ndiyo nikajaribu mof ambako nako kumegoma, naambiwa particulars zangu tayari zilishatumika wakati huko sikuwa nimewahi kujisajili.
Umejaribu kama vile kufanya ume.forget password ili walau ifanye resetting? Maana ile ya kwanza ilihitaji tu e-mail na password, hii ya MoF inahitaji check number na password. Sasa sijui zimingilianaje, ila jaribu kusema umeforget password ikutumie details uone itaendeleaje.
 
Hata Mimi Ni Muhanga Wa Hilo Tatizo Mkuu,Sijui Nafeli Wapi,Nimeenda Mpaka Kwenye Cafe Wameshindwa Ku Access,Ukipata Msaada Tafadhali Nijuze Namimi
 
Umejaribu kama vile kufanya ume.forget password ili walau ifanye resetting? Maana ile ya kwanza ilihitaji tu e-mail na password, hii ya MoF inahitaji check number na password. Sasa sijui zimingilianaje, ila jaribu kusema umeforget password ikutumie details uone itaendeleaje
Ukifanya hivyo, ina time-out, hairudishi kitu. Umejaribu kuiangalia hiyo attachment ya pili? Ni kwamba kwa sasa hivi imeshabadilisha ujumbe inasema hivi:

“MFUMO HUU KWA SASA UPO KWENYE MATENGENEZO SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA. ASANTE”

By the way, kuanzia leo nimeamua kukupa jina jipya. Kuanzia leo utaitwa Faru John, jina maarufu sana kuliko hilo ulilonalo sasa
 
Site yenyewe hii hapa:


Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017

  • Salary slip ya kwanza niliyopata kutoka kwenye website hii ni ya March 2017
  • Niliendelea kupata Salary slip hizi hadi December 2018
  • Baada ya hapo, kuanzia February 2018 site ikawa inarudisha ujumbe kuwa iko kwenye matengenezo hadi leo
  • Kuanzia pale sina Salary Slip hadi leo
  • Nikijaribu kujisajili kule kwingine Wizara ya Fedha, Napata ujumbe kuwa Chek Namba, e-mail address pamoja na namba yangu ya simu nilivyotumia tayari vilshatumika na mtu au watu wengine
Attachment mbili zilizopo hapo chini zinaonyesha home page yake namna ilivyotokea jana tarehe 13/01/2021, lakini sikuweza ku-login, ilikuwa inaleta time-out error. Nimejaribu leo tena tarehe 14/01/2021, imeanza tena kuleta ujumbe “MFUMO HUU KWA SASA UPO KWENYE MATENGENEZO SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA. ASANTE”. Huu ni ujumbe ambao nimekuwa nikiupokea tangu February 2018 na sina Salary Slips tena kuanzia pale hadi leo.

Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?
Hili tatizo wengi tuliojiunga na watumishi portal tatizo hilo lipo..ingia kwenye website ya mof kuna namba wapigie siku za kazi, hakikisha unapopiga una check number ili wakusajili
 
Site yenyewe hii hapa:


Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017

  • Salary slip ya kwanza niliyopata kutoka kwenye website hii ni ya March 2017
  • Niliendelea kupata Salary slip hizi hadi December 2018
  • Baada ya hapo, kuanzia February 2018 site ikawa inarudisha ujumbe kuwa iko kwenye matengenezo hadi leo
  • Kuanzia pale sina Salary Slip hadi leo
  • Nikijaribu kujisajili kule kwingine Wizara ya Fedha, Napata ujumbe kuwa Chek Namba, e-mail address pamoja na namba yangu ya simu nilivyotumia tayari vilshatumika na mtu au watu wengine
Attachment mbili zilizopo hapo chini zinaonyesha home page yake namna ilivyotokea jana tarehe 13/01/2021, lakini sikuweza ku-login, ilikuwa inaleta time-out error. Nimejaribu leo tena tarehe 14/01/2021, imeanza tena kuleta ujumbe “MFUMO HUU KWA SASA UPO KWENYE MATENGENEZO SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA. ASANTE”. Huu ni ujumbe ambao nimekuwa nikiupokea tangu February 2018 na sina Salary Slips tena kuanzia pale hadi leo.

Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?
Tafuta link ya salary slip,siyo watumishi,watumishi portal ilishafungwa mm napata salary slip yangu kila mwez!
 
Hili tatizo wengi tuliojiunga na watumishi portal tatizo hilo lipo..ingia kwenye website ya mof kuna namba wapigie siku za kazi, hakikisha unapopiga una check number ili wakusajili
Nimeshajaribu nikapata majibu kuwa check namba yangu tayari ilishatumika, sijapiga simu hata hivyo
 
Back
Top Bottom