Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,315
- 6,845
Site yenyewe hii hapa:
Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017
Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?
Ni website ambayo nilijisajili na hatimaye nikawa nina-print slalary slips zangu kuanzia March 2017
- Salary slip ya kwanza niliyopata kutoka kwenye website hii ni ya March 2017
- Niliendelea kupata Salary slip hizi hadi December 2018
- Baada ya hapo, kuanzia February 2018 site ikawa inarudisha ujumbe kuwa iko kwenye matengenezo hadi leo
- Kuanzia pale sina Salary Slip hadi leo
- Nikijaribu kujisajili kule kwingine Wizara ya Fedha, Napata ujumbe kuwa Chek Namba, e-mail address pamoja na namba yangu ya simu nilivyotumia tayari vilshatumika na mtu au watu wengine
Je, ni kweli kwamba hii site ilikuwa genuine na ni ya Serikali?