Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,269
- 6,836
Gari linatikisika kitu kizito mbele ya bonnet linapokuwa linatembea kwa spidi ya kuanzia km 80 kwa saa, na likiwa kwenye gia namba tano (gari ni manual).
Mwenye kujua hili ni tatizo gani atakuwa wa msaada sana.
Fundi wa gari amejaribu kubadilisha bush za mbele lakin bado lipo, fundi yeye alidhani pengine labda ni bush.
Vinginevyo, kingine alichoshauri fundi kifanyike ni wheel balancing, (ambayo kwa sasa bado haijafanyika) lakini mtikisiko anaoupata dereva anapokuwa anaendesha gari hilo pale tu linapokuwa limevuka spidi ya 80 km kwa saa, bado unampa dereva mashala kama tatizo hilo linaweza kusababishwa na wheel balancing.
Hata hivyo atafanya pia hiyo wheel balancing kulingana na ushauri wa fundi, ili aone kitatokea nini baada ya hapo.
Iwpo kamakuna mtu humu jukwaani mwenye mawazo tofauti na ya fundi wa gari hilo, msaada wake unahitajika kwa sana.
Halii hii imejitokeza kuanzia leo wakati mmiliki wake alipokuwa analifanyia majaribio baada ya kuwa amefanya zoezi la kuondoa hewa kwenye radiator ikiwa ni pamoja na kubadilisha coolant.
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Mwenye kujua hili ni tatizo gani atakuwa wa msaada sana.
Fundi wa gari amejaribu kubadilisha bush za mbele lakin bado lipo, fundi yeye alidhani pengine labda ni bush.
Vinginevyo, kingine alichoshauri fundi kifanyike ni wheel balancing, (ambayo kwa sasa bado haijafanyika) lakini mtikisiko anaoupata dereva anapokuwa anaendesha gari hilo pale tu linapokuwa limevuka spidi ya 80 km kwa saa, bado unampa dereva mashala kama tatizo hilo linaweza kusababishwa na wheel balancing.
Hata hivyo atafanya pia hiyo wheel balancing kulingana na ushauri wa fundi, ili aone kitatokea nini baada ya hapo.
Iwpo kamakuna mtu humu jukwaani mwenye mawazo tofauti na ya fundi wa gari hilo, msaada wake unahitajika kwa sana.
Halii hii imejitokeza kuanzia leo wakati mmiliki wake alipokuwa analifanyia majaribio baada ya kuwa amefanya zoezi la kuondoa hewa kwenye radiator ikiwa ni pamoja na kubadilisha coolant.
MUBARIKIWE TENA NA BWANA