Msaada tutani, CCM mna mgombea wa kukabiliana na mabadiliko yanayokuja duniani kupitia Rais Trump?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
22,290
34,677
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali wakati huo huo akilipa deni linalokatibia Trillion 100?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Kamwe usitegemee waelewe hao kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, kuna gonjwa linakuja, sector ya fedha inaenda kuanguka, kwa kifupi mvinyo mpya kiriba kipya ukilazimisha mvinyo mpya kwenye kiriba cha zaman lazima kipasuke na hakika kuna taasisi, vyama, serkali na vingine vingi vinaenda kupasuka asikiaye na afahamu
Mifumo inawekwa tayar tayar kumkaribisha mpinga kristo.
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
mgombea si walishamtangaza dodoma mkuu
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Mwigulu atakuja na tozo ya viatu sasa maana kwingine kote amemaliza
 
Kamwe usitegemee waelewe hao kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, kuna gonjwa linakuja, sector ya fedha inaenda kuanguka, kwa kifupi mvinyo mpya kiriba kipya ukilazimisha mvinyo mpya kwenye kiriba cha zaman lazima kipasuke na hakika kuna taasisi, vyama, serkali na vingine vingi vinaenda kupasuka asikiaye na afahamu
Mifumo inawekwa tayar tayar kumkaribisha mpinga kristo.
Na mfumo Toka Mbinguni unamtaka Nabii, Mlawi akalie KITI Ili Kupambana na mfumo wa mpinga Kristo unaoandaliwa uanze kufanya KAZI,

Nchi hii ni Makao makuu ya Afrika nzima kama lango,

Hili jambo tumelisema sana mnaziba masikio,

Ni sharti mbadilike au mbadilishwe!!

Niliona kundi kubwa la wananchi wakiwakimbiza wanasiasa wakiwaambia ninyi ndio mmetufikisha hapa,

Muda Bado upo, badilisheni haraka,

Kamwe mwanadamu hawezi kushindana na Mungu akashinda.

Tusubiri 🙏
 
Kamwe usitegemee waelewe hao kuna anguko kubwa la uchumi linakuja, kuna gonjwa linakuja, sector ya fedha inaenda kuanguka, kwa kifupi mvinyo mpya kiriba kipya ukilazimisha mvinyo mpya kwenye kiriba cha zaman lazima kipasuke na hakika kuna taasisi, vyama, serkali na vingine vingi vinaenda kupasuka asikiaye na afahamu
Mifumo inawekwa tayar tayar kumkaribisha mpinga kristo.
Hakika USA haieleweki🤣🤣🤣🤣.. Bananchi bamechagua dikiteta na tairant.

Empires zote zilianguka baada ya Viongozi wao kujitutumua na madaraka kama haya tunayoyaona.

Hakuna nchi yeyote ile kwa sasa Duniani inayoweza kukabiliana na ubeberu wa Trump zaidi ya China na Russia. sasa ndio mtajua Dola sio polisi😅😁😁😁
DOLLAR ni faranga bana.

"UNACHEZA NA DOLA"
 
Hellow Tanganyika,

USAID inadaiwa kufutwa, makampuni Toka nje yanafunga ofisi, misaada ya madawa inaondoshwa nk nk

Nawauuliza swali dogo tu, maana muda Bado upo na uchaguzi haujatangazwa Bado, hivyo kutangaza wagombea sasa Bado Si HOJA sana, mabadiliko yaweza fanyika.

Tujiulize yafuatayo;

1. CCM tunaye mgombea KITI kikuu awezaye kuwasaidia wananchi kujitegemea, kuishi bila kutegemea misaada Toka nje?

2. Mnaye mgombea anayeweza kufidia upungufu wa budget utakaoondolewa na marekani na World bank Kwa Nchi yetu Kwa kujifunga mkanda kubana matumizi ya serikali?

3. Mnaye mgombea anayeweza kuwatisha wezi wa pesa za umma Ili makusanyo yatoshe maana misaada hamna?

Muda wa kufanya mabadiliko Bado upo, hamjachelewa,

Wakati mkiendelea kujibu maswali hayo, wananchi tunajiuliza,

1. Vyama vya upinzani, je vinaweza kutuletea mgombea ataeendana na mabadiliko yanayokwenda kuipata Dunia?

Niko pale Nasubiri kuelimishwa.

Karibuni 🙏
Samia atawezq tena sana tu ila angekuwa yule bwana tungekwisha
 
Back
Top Bottom