Msaada tutani: Black beauty is gone

Black beauty tunaojikubali tupo saana tu ila wakutafuta. Wanawake hakuna tunaloweza zaidi ya kutafuta attention ya Wanaume. Makalio ndo hayo ya mchina, maziwa ndo usiseme. Ifike mahali wanaume waseme basi inatosha, la sivyo miaka kadhaa ijayo hiyo saratani zitamaliza weengi sana
Kumbe na ww ni black beauty km mm
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom