Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Je uzazi wa ngapi? Ila hapo mzembe ni Mwanamke kwanini alikubali kukupa? Wakati wa clinic hukupewa elimu ya ulezi na afya ya mama na mtoto ? Unless uwe ulimbaka lakini Kama aliridhia mwenyewe kukupa basi asikilaumu sana ingawa na Wewe ulizidi! Angalieni Roho ya kukataliwa isijemnyemelea aliyetumboni!