StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 3,679
- 3,718
Hizo haki zilizokuwa zinabinywa kama zinatambulika kisheria.Komaa mwanzo mwisho.Tena usirudi nyuma popote pale endelea kusimamia haki.Mungu atakuwa upande wako daima hata dunia nzima ikikutenga.Kila mwanadamu yupo kwa kusudi maalum hapa duniani.Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.
Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.
Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada