kuhusu inasomwa na nani..Kwa kuwa ndo naanza kufatilia siasa za Tanzania, huwa nasikia bajeti za serikali na mahakama, ila sijawahi kusikia bunge linapewa kiasi gani cha pesa na kama CAG analikagua, tafadhari nijibu kwa ushahidi, kama huna uhakika, pita tu pembeni
CAGKwa kuwa ndo naanza kufatilia siasa za Tanzania, huwa nasikia bajeti za serikali na mahakama, ila sijawahi kusikia bunge linapewa kiasi gani cha pesa na kama CAG analikagua, tafadhari nijibu kwa ushahidi, kama huna uhakika, pita tu pembeni