Msaada: Traffic case hukumu yake inakuaje?

Mdogo ake the BOLD

JF-Expert Member
Mar 30, 2018
456
829
Habari wakuu,

Kuna ndugu yangu alimgonga mama mmoja na gari na wala hapakua na zebra yule mama alivuka tu ghafla, akavunjika mguu akamtibu mpaka akapona lakini yule mama akadai alipwe milion 2 ili alimalize hilo suala lakin polis wakamwambia bora waende mahakamani. sasa huyo ndugu yang ana waswas wa kwenda mahakaman na hajawah kufika hata siku moja. Je, hukumu zake inakuaje?

Note: Gari ina bima na ana leseni ya udereva
 
Mwezi umepita sasa tangu uzi umeanzishwa. Si tupewe mrejesho jamani ilikuwaje au bado hiyo sintofahamu ipo?
 
Siku zoooote humu huwa nasisitiza kuwa suala la kisheria au kimahakama huwa linashauriwa kisheria. Usitoe maoni kama huna uelewa wa suala husika au huna uzoefu juu ya suala hilo maana hutakua umemsaidia mwenye tatizo pamoja na wengine wote wanaoweza kufaidika na suala husika.
 
Siku zoooote humu huwa nasisitiza kuwa suala la kisheria au kimahakama huwa linashauriwa kisheria. Usitoe maoni kama huna uelewa wa suala husika au huna uzoefu juu ya suala hilo maana hutakua umemsaidia mwenye tatizo pamoja na wengine wote wanaoweza kufaidika na suala husika.
Umenena.
Nakushukuru sana.
 
Umenena.
Nakushukuru sana.
Eti mtu anakwambia "kumgonga mtu aliyeingilia haki yako ya kutumia barabara si kosa" 😂😂😂😂😂 jamani ukiuliza anasema hivyo under which law atabaki anakushangaa tu
 
hqizid 120k kama kwel amemtibia basi haizidi hyo hela
Faini kwa kosa gani kama anajua alikuwa sahihi, hata kama angekuwa na makosa faini si zaidi ya elfu hamsini. Nilipata ajali na niliyemgonga bahati mbaya alifariki. Nilligharimia mazishi na kumsomesha mtoto ili kujenga mahusiano tu. Mahakamani walinipiga faini au miezi mitatu jela. Kwa sababu alifariki nilitoa kitu kidogo kwa wazee wa court ili nisipoteze muda. Nyie nendeni mahakamani, ingawa ni usumbufu pia, ila Milioni 2 ya nini
 
Kwel mkuu alipigwa faini 150k na lesen kufungiwa
Trafic case huwa adhabu yake ya msingi ni KULIPA FINE ISIYOZIDI SH ELFU 50 KWA KOSA MOJA. Japo unaweza kuongezewa adhabu ya ziada kama kufungiwa leseni kwa muda au milele.
Habari za kumtibia au kugharamia mazishi ya muhanga au kujitolea chochote kwa muhanga ni social remedy tu (uungwana au ubinadamu) hulazimishwi na sheria yoyote wala haithiri hukumu kwa namna yoyote
 
Habari wakuu,

Kuna ndugu yangu alimgonga mama mmoja na gari na wala hapakua na zebra yule mama alivuka tu ghafla, akavunjika mguu akamtibu mpaka akapona lakini yule mama akadai alipwe milion 2 ili alimalize hilo suala lakin polis wakamwambia bora waende mahakamani. sasa huyo ndugu yang ana waswas wa kwenda mahakaman na hajawah kufika hata siku moja. Je, hukumu zake inakuaje?

Note: Gari ina bima na ana leseni ya udereva
Traffic case ni za kawaida tu kubali uende mahakamani utalipishwa faini tu yani hizi sheria nahisi wangezirekebisha yani zipo soft sana hata ukiua ni unalipishwa faini tu au jela miaka miwili kama sikosei sasa wengi wanalipa faini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku zote ukigonga mtu afu bdo anafurukuta mpigie rivas umalize..
utakuja kunishkuru
Hiyo ni roho mbaya nakusihi iache,waweza fanya hivyo ukakimbia na bado ukafukuzwa kwa waliokushuhudia ukifanya unyama huo na wakakumaliza kinyama pia na kuteketeza hilo gari lako
 
Faini kwa kosa gani kama anajua alikuwa sahihi, hata kama angekuwa na makosa faini si zaidi ya elfu hamsini. Nilipata ajali na niliyemgonga bahati mbaya alifariki. Nilligharimia mazishi na kumsomesha mtoto ili kujenga mahusiano tu. Mahakamani walinipiga faini au miezi mitatu jela. Kwa sababu alifariki nilitoa kitu kidogo kwa wazee wa court ili nisipoteze muda. Nyie nendeni mahakamani, ingawa ni usumbufu pia, ila Milioni 2 ya nini
2m ya wap.....fain inategemeana na wewe kukubal kosa au ni vp.......kama umekubal kosa utalipa fain na kuhusu mazish hausikiii ila ukiamua wewe ndio utajitoa tu kw ajil ya msiba tu lakin mahakaman fain ya ajali ya kufariki nahis inaanzia lak na 20 uko na kuendeleaa na kuhus sijuii mazish hauhusikii mtuhumiw labda ujitolee tu kwa moyo tu
 
Back
Top Bottom