MSAADA -TRA na LESENI

newmzalendo

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
1,378
550
Nimesajili kampuni kuwa LTD.
nahitaji
1.TIN registration
2.Leseni ya biashara
location ni wilaya ya kinondoni.
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala
 
Jizo unazipata ndan ya muda huo anzia tra halafu ukupata tin ndio uende nayo ofisi za manispaa kwa ajili ya leseni
 
Huhutaji usaidizi kwa hili wewe nenda TRA Jaza ombi la TIN then wape kesho yake utapata you are tin no. Thereafter inategemeana na aina ya biashara. Biashara ndogondogo nenda Kinondoni Municipal but if ni biashara kubwa nenda Wizara ya Viwanda na biashara unaipata the same day. TRA Usually wana weza kukubana ohoo lipa provision tax wakatalie wambie kodi hulipwa ikiwa ni ziada ya capital na expenses, hivyo yawezekana usipate faida mwaka wa kwanza hivyo hutakiwi kulipa kodi. Wakikuletea usumbufu waone walio juu yao.
 
Mkuu, nadhani umemsaidia vizuri sana.
Kitu cha msingi ni kwamba yeyote atakayeonyesha kumsumbua au kumpa masharti magumu aende kwa mtu wa juu yake. Very simple, ukiwa mkali na kuonyesha kuwa unazijua taratbu hakuna atakae kusumbua, sio tra wala manispaa.
Huhutaji usaidizi kwa hili wewe nenda TRA Jaza ombi la TIN then wape kesho yake utapata you are tin no. Thereafter inategemeana na aina ya biashara. Biashara ndogondogo nenda Kinondoni Municipal but if ni biashara kubwa nenda Wizara ya Viwanda na biashara unaipata the same day. TRA Usually wana weza kukubana ohoo lipa provision tax wakatalie wambie kodi hulipwa ikiwa ni ziada ya capital na expenses, hivyo yawezekana usipate faida mwaka wa kwanza hivyo hutakiwi kulipa kodi. Wakikuletea usumbufu waone walio juu yao.
 
Hapa TRA ndo huwa wanakuwa wanakosea, maana unaambiwa ulipe kodi hata biashara haijaanza. Kwa mwendo huu tutakuza ujasiriamali kweli?

Huhutaji usaidizi kwa hili wewe nenda TRA Jaza ombi la TIN then wape kesho yake utapata you are tin no. Thereafter inategemeana na aina ya biashara. Biashara ndogondogo nenda Kinondoni Municipal but if ni biashara kubwa nenda Wizara ya Viwanda na biashara unaipata the same day. TRA Usually wana weza kukubana ohoo lipa provision tax wakatalie wambie kodi hulipwa ikiwa ni ziada ya capital na expenses, hivyo yawezekana usipate faida mwaka wa kwanza hivyo hutakiwi kulipa kodi. Wakikuletea usumbufu waone walio juu yao.
 
Hongera sana man!

ile issue bado nafuatilia....ikiwa poa nitakufahamisha.

Nimesajili kampuni kuwa LTD.
nahitaji
1.TIN registration
2.Leseni ya biashara
location ni wilaya ya kinondoni.
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala
 
Nimesajili kampuni kuwa LTD.
nahitaji
1.TIN registration
2.Leseni ya biashara
location ni wilaya ya kinondoni.
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala

Kimsing TRA ni chanzo cha kukosekana kwa mapato. Ni rahisi kupata TIN lakini mchakato wa makadirio ya mapato unatisha kiasi kwamba unaanza kujiuliza kama unaanza kulipa fedha nyingi mwaka wa kwanza wakati biashara inafikirika, je miaka ijayo itakuwaje? Nakushauri ufuatilie taratibu za kupata TIN siyo ngumu ila hakikisha uingizwi choo cha kike kama wewe ni MR.
Bye
 
Nimesajili kampuni kuwa LTD.<br>
nahitaji<br>
1.TIN registration <br>
2.Leseni ya biashara<br>
location ni wilaya ya kinondoni.<br>
huitaji wangu ni wa haraka kidogo,within 4 days.<br>
naomba maelekezo jinsi ya kupata vitu hivyo na ikiwezekana reference kwa mtu atakayeweza kurahisisha maisha ktk hili swala
<br><br>Kimsing TRA ni chanzo cha kukosekana kwa mapato. Ni rahisi kupata TIN lakini mchakato wa makadirio ya mapato unatisha kiasi kwamba unaanza kujiuliza kama unaanza kulipa fedha nyingi mwaka wa kwanza wakati biashara inafikirika, je miaka ijayo itakuwaje? Nakushauri ufuatilie taratibu za kupata TIN siyo ngumu ila hakikisha uingizwi choo cha kike kama wewe ni MR.<br>Bye<br><br><br>
 
Ili upate TIN kwa ajili ya Kampuni ulosajili, TRA watahitaji kivuli cha nyaraka zifuatazo.

1. cheti cha usajili (cert of Incorporation)
2. Memorandum & Articles of Association
3. mkataba wa pango, kama jengo la biashara si la kwako
4. Picha 2 za wakurugenzi na maelezo yao
5. Inakupasa wewe ama wakurugenzi kwenda physically TRA kwa ajili ya kupiga picha na kuchua alama za vidole.

Utakutana na Tax officer ambaye atakusaili kujua aina ya biashara na faida tarajiwa (provisional tax). Unatakiwa kuwa mwerevu kidogo maana wao wamefunzwa kukamua kodi. Sina hakika lakini nadhani wanapaswa kukupa miezi 6 kabla hujaanza kulipa kodi - wataalam watasema.

Ukienda mapema utaipata same day.

Kwenye leseni watahitaji nyaraka sawa na hapo juu 1 - 3 pamoja na TIN.
Kama biashara yako inahitaji taaluma fulani watahitaji cheti cha moja ya wakurugenzi.

Karibu kwenye ulimwengu wa wajasiriamali.

1. copy ya
 
Ili upate TIN kwa ajili ya Kampuni ulosajili, TRA watahitaji kivuli cha nyaraka zifuatazo.

1. cheti cha usajili (cert of Incorporation)
2. Memorandum & Articles of Association
3. mkataba wa pango, kama jengo la biashara si la kwako
4. Picha 2 za wakurugenzi na maelezo yao
5. Inakupasa wewe ama wakurugenzi kwenda physically TRA kwa ajili ya kupiga picha na kuchua alama za vidole.

Utakutana na Tax officer ambaye atakusaili kujua aina ya biashara na faida tarajiwa (provisional tax). Unatakiwa kuwa mwerevu kidogo maana wao wamefunzwa kukamua kodi. Sina hakika lakini nadhani wanapaswa kukupa miezi 6 kabla hujaanza kulipa kodi - wataalam watasema.

Ukienda mapema utaipata same day.

Kwenye leseni watahitaji nyaraka sawa na hapo juu 1 - 3 pamoja na TIN.
Kama biashara yako inahitaji taaluma fulani watahitaji cheti cha moja ya wakurugenzi.

Karibu kwenye ulimwengu wa wajasiriamali.

1. copy ya

upo sahihi mkuu, na labda niwafahamishe jambo jingine kwamba hyo TIN hususani ya biashara (namaanisha kuna TIN ya matumizi ya kawaida na ya biashara.) hupewi mpaka umefanyiwa makadirio na ofisa wa TRA hvyo wakati unarudisha hyo form ya maombi ya TIN na viambatanishi vilivyotajwa hapa juu na mtoa mada aliyetangulia ni lazima uwe una form ya makadirio ya kodi.
baada ya kupata tin na processed estmated tax payable itakubidi ulipe instalment ya kpindi husika na hyo risiti ya malipo ya kodi ya mapato uliyolipa utakwenda nayo kama kithibitisho ili upate lesseni.
 
Hongera kwa kufungua kampuni mkuu, ila kwa procces za tin na leseni pamoja na maelezo m,engi ambayo wadau wameyatoa tegemea kukumbana na vikwazo vya hapa na pale visivo kichwa wala miguu, kila mtumishi utakayemkuta kwa desk lazima akuzingue kimtindo. but go plz go! ujasiriamali dili sana
 
Asanteni Sana.ila hii point imenivutia ,TRA Usually wana weza kukubana ohoo lipa provision tax wakatalie wambie kodi hulipwa ikiwa ni ziada ya capital na expenses, hivyo yawezekana usipate faida mwaka wa kwanza hivyo hutakiwi kulipa kodi. Wakikuletea usumbufu waone walio juu yao.

TRA wanataka nilipe Provisional Tax,wakati sijapata hata mteja mmoja ,Hivi provisional Tax,inabidi iwe sehemu ya Capital yangu sasa ktk biashara hii :(
 
Back
Top Bottom