ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Habari wadau, naomba ushauri..
Nina Toyota Harrier model ya 2005 inakita kwa sauti (banging sound) nIkipita kwenye shimo bila kupunguza speed. Yani hata kama si speed sana. Sauti inatokea sana kwa mbele.
Fundi amekagua akagundua shock absorber ziko weak na moja ilishaanza kuvuja. Vitu vingine vyote anasema viko sawa, yaani stabilizer link, stabilizer bushes, wishbone bushes.
Nimebadili shock absorbers lakini tatizo liko palepale.
Je, nicheki kifaa gani kingine?
Nina Toyota Harrier model ya 2005 inakita kwa sauti (banging sound) nIkipita kwenye shimo bila kupunguza speed. Yani hata kama si speed sana. Sauti inatokea sana kwa mbele.
Fundi amekagua akagundua shock absorber ziko weak na moja ilishaanza kuvuja. Vitu vingine vyote anasema viko sawa, yaani stabilizer link, stabilizer bushes, wishbone bushes.
Nimebadili shock absorbers lakini tatizo liko palepale.
Je, nicheki kifaa gani kingine?