Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
Waajiri wengi huwa wanapenda barua za maombi ziandikwe kwa mkono.

Ila kuna wanaoprint na haileti tatizo unless kama umekuwa guided ku-submit a handwritten application letter.
 
Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
Njia zote hutumika, lakin barua ya mkono hutumika zaid kama maombi yanatumwa kwa njia ya posta ama unapeleka fizikali, barua ya mkono huangalia zaid unadhifu wako na mwandiki wako uko vipi.

Unaweza kuwa una mwandiko mzuri lakin hauko nadhifu

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa ni connection tu....hizo barua huwa zinatiwa kwenye faili Wala hakuna wa kupoteza muda wake kuzisoma..so, Kama una connection hata uandike barua kwa miguu utapata kazi chapu kwa haraka.
 
Kikubwa ni connection tu....hizo barua huwa zinatiwa kwenye faili Wala hakuna wa kupoteza muda wake kuzisoma..so, Kama una connection hata uandike barua kwa miguu utapata kazi chapu kwa haraka.
Connection ndio kila kitu kama pesa vile, mwezi wa 1 nilipeleka barua yangu ya kujitolea shirika flan hv la serikali (barua ilkuwa typing) ila mpaka leo sina feedback ila kuna mshikaji nimesoma nae yeye alipelekwa ili apate kujitolea na akapata nafasi, sina wivu kuwa amepata halafu mm nmekosa ila roho inaniuma sana kukosa connection
 
Connection ndio kila kitu kama pesa vile, mwezi wa 1 nilipeleka barua yangu ya kujitolea shirika flan hv la serikali (barua ilkuwa typing) ila mpaka leo sina feedback ila kuna mshikaji nimesoma nae yeye alipelekwa ili apate kujitolea na akapata nafasi, sina wivu kuwa amepata halafu mm nmekosa ila roho inaniuma sana kukosa connection
Acha tu mkuu... connection is very powerful these days.
 
Habarini za leo?napata changamoto katika Application..... nimejaza taarifa lakn inakuja "no data found"

APPLY.jpeg

msaada plz
 
Msaada hapa wakuu .natokaje kwenye hii changamoto?

"Necta candidates particulars does not match "
20210516_112627.jpg
 
Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie.

Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password.

Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili nibadili password lazima niweke username, na nikiweka user name naambiwa hakuna account yenye hiyo user name (username in mamba yangu ya form four).

Nikijaribu kutengeneza account upya inagoma inasema tayari hiyo account ipo.

Msaada jamani nimekwama.
Sema huu mfumo dah changamoto
 
Back
Top Bottom