Waajiri wengi huwa wanapenda barua za maombi ziandikwe kwa mkono.Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
Well said bro! Sasa Naanza kuelewa kidog kweny barua za mkono. AsanteWaajiri wengi huwa wanapenda barua za maombi ziandikwe kwa mkono.
Ila kuna wanaoprint na haileti tatizo unless kama umekuwa guided ku-submit a handwritten application letter.
Njia zote hutumika, lakin barua ya mkono hutumika zaid kama maombi yanatumwa kwa njia ya posta ama unapeleka fizikali, barua ya mkono huangalia zaid unadhifu wako na mwandiki wako uko vipi.Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
Connection ndio kila kitu kama pesa vile, mwezi wa 1 nilipeleka barua yangu ya kujitolea shirika flan hv la serikali (barua ilkuwa typing) ila mpaka leo sina feedback ila kuna mshikaji nimesoma nae yeye alipelekwa ili apate kujitolea na akapata nafasi, sina wivu kuwa amepata halafu mm nmekosa ila roho inaniuma sana kukosa connectionKikubwa ni connection tu....hizo barua huwa zinatiwa kwenye faili Wala hakuna wa kupoteza muda wake kuzisoma..so, Kama una connection hata uandike barua kwa miguu utapata kazi chapu kwa haraka.
Acha tu mkuu... connection is very powerful these days.Connection ndio kila kitu kama pesa vile, mwezi wa 1 nilipeleka barua yangu ya kujitolea shirika flan hv la serikali (barua ilkuwa typing) ila mpaka leo sina feedback ila kuna mshikaji nimesoma nae yeye alipelekwa ili apate kujitolea na akapata nafasi, sina wivu kuwa amepata halafu mm nmekosa ila roho inaniuma sana kukosa connection
Kuna options mbil pale, kuondoa na kubadil sasa kiweka upya maana umekiiondoka hvyo add tenaBirth certificate
Aise mbona nimejaribu inaniletea huu ujumbe, kureset password bado ashindwa mwenye solution ya hii issue msaada plz!
Nenda kwenye taarifa binafs chini Kuna maneno oanisha taarifa za NECTA kidato Cha 4 oanisha apo alafu rud jaza Tena kwenye sixMsaada hapa wakuu .natokaje kwenye hii changamoto?
"Necta candidates particulars does not match "View attachment 1786784
Ahsante mkuu nimefanikiwaNenda kwenye taarifa binafs chini Kuna maneno oanisha taarifa za NECTA kidato Cha 4 oanisha apo alafu rud jaza Tena kwenye six
Umefanikishaje machaguo ya muombaji Mana kila nikijaribu inagomaMsaada hapa wakuu .natokaje kwenye hii changamoto?
"Necta candidates particulars does not match "View attachment 1786784
Hapo angalia sana password unaweza kuwa umekosea.Bad credentials ndio ina maana gan
Mi naweka email sahihi na bado inashindikana.Apo shida niwew Sasa huenda email unayoingiza sio sahihi ndo Mana wanakupa huo ujumbe
Sema huu mfumo dah changamotoHabari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie.
Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password.
Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili nibadili password lazima niweke username, na nikiweka user name naambiwa hakuna account yenye hiyo user name (username in mamba yangu ya form four).
Nikijaribu kutengeneza account upya inagoma inasema tayari hiyo account ipo.
Msaada jamani nimekwama.