Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie.
Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password.
Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili nibadili password lazima niweke username, na nikiweka user name naambiwa hakuna account yenye hiyo user name (username in mamba yangu ya form four).
Nikijaribu kutengeneza account upya inagoma inasema tayari hiyo account ipo.
Msaada jamani nimekwama.
Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password.
Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili nibadili password lazima niweke username, na nikiweka user name naambiwa hakuna account yenye hiyo user name (username in mamba yangu ya form four).
Nikijaribu kutengeneza account upya inagoma inasema tayari hiyo account ipo.
Msaada jamani nimekwama.