Wadau naomben tofauti ya ivyo vitu viwil au ukipata 0% unapata ela ya chakula lakin fee aupew na no loan hauna vyote,anaejua anifaamishe na wengine wacofaham
Yap ni hivyo hiyo ujuavyo, in addition 0% unapata fedha za mambo mengine yote kasoro TUITION FEE na fedha za SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS. Hiyo % huangaliwa kwenye TUITION FEE na SPECIAL FACULTY REQUIREMENTS kwingine kote kiwango cha fedha ni sawa. Jaribu kupitia mtandao wa HESLB kwa maelezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.