Nina mzee wangu anasumbuliwa sana na kizunguzungu je kinasababishwa na nini na nini dawa yake?Mara nyingi kinamsumbua akiinamisha kichwa au akiamka asubuhi?Msaada jamani.
soma hiyo ndugu nimeikuta mahala labda itakusaidia kumpa nafuu mzee wako huyo.pole sana
Nitajie uzito wake huyo mzee, pia niambie urefu wake
Habari zenu waungwana.Nasumbuliwa na tatizo la kuwa na kizunguzungu mara kwa mara,hasa ninapokuwa nimekaa kwa mda nikisimama huwa nahisi kizunguzungu.Je hii inasababishwa na nini? na tiba yake ni ipi?
Huo ugonjwa unaitwa postural hypotension.Yaani kupungua kwa shinikizo la damu unaposimama ghafla.Sababu ni nyingi.Inaweza kuwa ni upungufu wa maji mwilini au kama unatumia dawa za kushusha shinikizo la damu.kunywa maji mengi mkuu, ni ishara ya upungufu wa maji kwenye damu au la utakuwa na damu nyingi. Anza na maji mengi kwanza angalau lita 2 hadi 3 kwa siku
Huo ugonjwa unaitwa postural hypotension.Yaani kupungua kwa shinikizo la damu unaposimama ghafla.Sababu ni nyingi.Inaweza kuwa ni upungufu wa maji mwilini au kama unatumia dawa za kushusha shinikizo la damu.
Pole kwa kizunguzungu
Thanx 4 Ur concern!