Habari wana jf naomba mnisaidie jinsi ya kuutibu uume wangu kwa dalili hizi, umekua wa moto sana kuliko joto la mwili pia korodani zimesinyaa na kuonekana nimedisa mda wote. Hii imetokea baada ya kushiriki nyeto ndani ya miaka mitatu hivyo naomba ndugu zangu mnisaidie jinsi ya kutibu korodani na uume. Asenteni!