Msaada tena wanajf : kompyuta yangu imegoma kuconect aina zote za modem!

Makaura

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
892
293
Wana jf copyuta yangu imegoma kujiconect na modem, inaditect ila nikikonect inaniambia kuwa "a connection to a remote computa..... Na maelezo mengine", nime unstall na ku install upya ikagoma, nimeweka salio ikagoma bado, ila nikiweka kwenye computa zngne inafanya kazi vizuri,nimepeleka kwa mafundi wa jiji la Mwanza wakashndwa na finaly wakaniambia niweke window upya kwenye computa ila nikakataa kwani sithani kama tatizo dogo kama hilo linaweza kuniondolea window. Nb, computa yangu ni Hp na ina original window kutoka kiwandani yaani window 8. Asanteni kwa msaada!
 
what's wrong with you unaomba msaada unashauriwa ubadilishe window unaleta ubishi eti tatizo dogo aya wapelekee kiwandani wakurekebishie!
 
Wana jf copyuta yangu imegoma kujiconect na modem, inaditect ila nikikonect inaniambia kuwa "a connection to a remote computa..... Na maelezo mengine", nime unstall na ku install upya ikagoma, nimeweka salio ikagoma bado, ila nikiweka kwenye computa zngne inafanya kazi vizuri,nimepeleka kwa mafundi wa jiji la Mwanza wakashndwa na finaly wakaniambia niweke window upya kwenye computa ila nikakataa kwani sithani kama tatizo dogo kama hilo linaweza kuniondolea window. Nb, computa yangu ni Hp na ina original window kutoka kiwandani yaani window 8. Asanteni kwa msaada!

Umewabishia mafundi tutajuaje kama na sisi hutatubishia? Anyway weka door mpya kama tatizo sio window
 
kama umewabishia wote; weka dirisha la Grill, au power window, kwani ushauri halisi ni window.
 
pozzyfaza LUZGER Mzito Kabwela Chaukucha
.
achen matatizo vijana
.
kwa tech kupiga window sio suluhisho la matatizo... Achen masyala mwenzenu ana shda
.
O-man
.
uctake kujaza tu pm kwa v2 kama hv weka waz watu wengne waelewe co waje tena kufungua thread ya kuomba msaada
.
.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu yangu kwa tatizo. nimeshangaa sana comment za watu, mafundi wengi wanakimbilia kupiga window wakati kupiga window inaharibu sana harddisk, yaan kupiga window ni solution ya mwisho kabisa mtu anatakiwa ku consider, kama ni hospital basi tuseme mgonjwa ndo inabidi aingie ICU. mimi nataka kuwaambia watu, je ukuta wa nyumba yako ikimeguka kidogo tu utabomoa ukuta wote ujenge upya au utaweka kiraka na kusawazisha sehemu hiyo? hapa bongo mafundi wengi wanajua window ndo solution, lakini nakusifu kwa kuwa na moyo huo wa subira. mimi nitakupa solution. kwa troubleshooting ya haraka haraka, madhali ina detect kwa computa zingine na kwako ndo haikubali ku connect, hapo moja kwa moja tunasema modem ni nzima, na tatizo ni computa yako. sasa tatizo lipo wapi hasa? tatizo ni kwenye drivers ya hiyo modem yako kwenye computa yako, aidha itakua imeliwa na kirusi au ime corrupt. chakufanya ni kutoa drivers na ku install tena, usi uninsatall kawaida maana hua inabaki mara nyingine kwenye system. nenda MY COMPUTER, right click ingia manage, utaona device manager, hapo ndo kuna drivers, angalia hiyo modem ipo kwenye port gani, dan nenda na uitoe manually, ukimaliza restart laptop yako halafu install upya. ikikataa hiyo naomba ujibu nikupe solution ingine, actually solution zipo nyingi, mgonjwa akiumwa tumbo inaweza kua ni typhoid, au minyoo, au amekula kitu kibaya, au kavimbiwa au hata njaa pia, kwahiyo vyote vinawezekana. lakini kupona lazima, kwa sasa usipige window ingine boss.
 
Wana jf copyuta yangu imegoma kujiconect na modem, inaditect ila nikikonect inaniambia kuwa "a connection to a remote computa..... Na maelezo mengine", nime unstall na ku install upya ikagoma, nimeweka salio ikagoma bado, ila nikiweka kwenye computa zngne inafanya kazi vizuri,nimepeleka kwa mafundi wa jiji la Mwanza wakashndwa na finaly wakaniambia niweke window upya kwenye computa ila nikakataa kwani sithani kama tatizo dogo kama hilo linaweza kuniondolea window. Nb, computa yangu ni Hp na ina original window kutoka kiwandani yaani window 8. Asanteni kwa msaada!

Jaribu ku uninstall antivirus yoyote uliyonayo then install hiyo modem ikishakubali install antivirus yako
 
Unatumia anti virus ya aina gani? Na modem yako ni ya ina gani? Tatizo linaweza kuwa dogo sana. NIJIBU TUPATE NJIA YA KUPITA.
 
Wana jf copyuta yangu imegoma kujiconect na modem, inaditect ila nikikonect inaniambia kuwa "a connection to a remote computa..... Na maelezo mengine", nime unstall na ku install upya ikagoma, nimeweka salio ikagoma bado, ila nikiweka kwenye computa zngne inafanya kazi vizuri,nimepeleka kwa mafundi wa jiji la Mwanza wakashndwa na finaly wakaniambia niweke window upya kwenye computa ila nikakataa kwani sithani kama tatizo dogo kama hilo linaweza kuniondolea window. Nb, computa yangu ni Hp na ina original window kutoka kiwandani yaani window 8. Asanteni kwa msaada!
Set time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom