cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habar waba jamvi, nina sim yangu moja aina ya tecno M3, nikiiwasha haimalizi kuwaka inaishia tu kwenye neno tecno halafu inaganda apo apo, sasa kwa anaye elewa tatizo nn naomba anisaidie.
chief mkwawa na wataalam wa mawasiliano naomben msaada wenu.
chief mkwawa na wataalam wa mawasiliano naomben msaada wenu.