Msaada TCU vs Sec selection

F2S

JF-Expert Member
Feb 16, 2008
216
44
wana jf, hawa tcu wanenichanganya jumla. Walitoa list ya wanaotakiwa kufanya second app sikuwemo then jana nikapata info kuna list nyingine kucheki nimo na deadline imepita ila kuna opt ya kutuma kwa mail na fax. Fax ikanigomea but mail ikaenda. Shida ni pale ambapo contact zetu wanazo lakini hawazitumii kutupa feedback. Hata dead line ya kuemail wameandika ni wenesday 25Aug2011. Je ntakuwa considered
 
note:wenesday ni tarehe 24 sio 25 sasa which is the correct deadline? Wadau wenye kesi kama yangu mmefanya aje mnijuze
 
List nyingine ipi? 2julishe! Ninavyojua mimi kuna list tatu yan qualified but no selected ambao ndio waliotakiwa kuapply tena na wale wasioapply first round,walio mis one principle A'level na walio mis credits 0'level! Je wewe ulikuwa wapi? Kat ya hizi category tatu?
 
Kutokana na takwim zao kuna watu 4000 ambao walikuw qualfied but not selected hvyo walitakiw kuomba tena lkn mpaka cku ya dead line kwa secnd round(22/8) ni watu 700 tu ambao waliomba tena so kuona hvyo tcu wakaamua kutuma sms kwa watu 3300 ambao hawakuomb wakihofia kuw itakuja kuw suprise kubw kwao kwan watadhan wamechagulwa kumbe sio.so kama wamekutumia sms na ww ni mmoja wapo hvyo ulipasw ku2ma fax au mail wednesday24 so kama hkufnya hvyo cjui kama utakuw considered au la.then l thnk u get me!
 
Kutokana na takwim zao kuna watu 4000 ambao walikuw qualfied but not selected hvyo walitakiw kuomba tena lkn mpaka cku ya dead line kwa secnd round(22/8) ni watu 700 tu ambao waliomba tena so kuona hvyo tcu wakaamua kutuma sms kwa watu 3300 ambao hawakuomb wakihofia kuw itakuja kuw suprise kubw kwao kwan watadhan wamechagulwa kumbe sio.so kama wamekutumia sms na ww ni mmoja wapo hvyo ulipasw ku2ma fax au mail wednesday24 so kama hkufnya hvyo cjui kama utakuw considered au la.then l thnk u get me!
kuna list imeandikwa current vertion ya qualified but not selected, inamajina 9200+ hata hiyo sms mimi sikuipata. I guess a lot of applicant have missed this.
 
Nashaur km una wasi ni bora ukaenda kwny ofisi zao wakuu, kabla mambo hayajaasibika. Nawatakia wepes wakat wa wakat huu wa kizungumkuti
 
List nyingine ipi? 2julishe! Ninavyojua mimi kuna list tatu yan qualified but no selected ambao ndio waliotakiwa kuapply tena na wale wasioapply first round,walio mis one principle A'level na walio mis credits 0'level! Je wewe ulikuwa wapi? Kat ya hizi category tatu?
Kuna current vertioni ina majina 9000+ sio 700
mkuu.
 
kuna list imeandikwa current vertion ya qualified but not selected, inamajina 9200+ hata hiyo sms mimi sikuipata. I guess a lot of applicant have missed this.mkuu sasa hapo unaanza kunichanganya new version inapatkana wap? Maana nimeitafuta kwenye website ya tcu sijaona kitu! Sanasana kuna please read tu! Ebu nipe source nami niangalie!
 
Jumla ya walioomba tcu mwaka huu ni 40175 na ambao walipata kweny first round ni 31000ambo majina yao yamepelekwa bod ya mkopo so hawa 9175 waliobaki 4000 kati yao wana vgezo lkn hawakuchguliw kw sbabu tofaut hvyo wakaambiwa waombe tena hvyo kuna watu zaid ya 5000 ambao wameachw kwa kutokuw na vgezo,pia ujue kuw hz inf nmezpata ktoka kwa m2 wa ndan pale tcu kwa hyo kama una mashak na bahti nzur upo dar ni bora ufike kwenye ofisi zao!
 
kuna list imeandikwa current vertion ya qualified but not selected, inamajina 9200+ hata hiyo sms mimi sikuipata. I guess a lot of applicant have missed this.mkuu sasa hapo unaanza kunichanganya new version inapatkana wap? Maana nimeitafuta kwenye website ya tcu sijaona kitu! Sanasana kuna please read tu! Ebu nipe source nami niangalie!

hapo kwenye read chini yake kuna hiyo list fungua then juu ya hiyo utaona current vertion
 
Jumla ya walioomba tcu mwaka huu ni 40175 na ambao walipata kweny first round ni 31000ambo majina yao yamepelekwa bod ya mkopo so hawa 9175 waliobaki 4000 kati yao wana vgezo lkn hawakuchguliw kw sbabu tofaut hvyo wakaambiwa waombe tena hvyo kuna watu zaid ya 5000 ambao wameachw kwa kutokuw na vgezo,pia ujue kuw hz inf nmezpata ktoka kwa m2 wa ndan pale tcu kwa hyo kama una mashak na bahti nzur upo dar ni bora ufike kwenye ofisi zao!
Thanks mkuu naomba utuulizie kwa huyo jamaa kuna mpango wowote wa tcu kutoa 3rd appl? Naomba kujua na office zao ziko wapi mkuu..
 
Back
Top Bottom