size 96
Senior Member
- Aug 31, 2019
- 135
- 144
Wakuu heshima kwenu,
Naombeni msaada wa haraka! Bado nipo hospitali ila ningependa kujua ili nibadili hospitali ikiwezekana. Ni siku tatu sasa toka mtoto azaliwe lakini anashindwa kunyonya, tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni msaada kwa wajuzi na wenye hii taaluma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada wa haraka! Bado nipo hospitali ila ningependa kujua ili nibadili hospitali ikiwezekana. Ni siku tatu sasa toka mtoto azaliwe lakini anashindwa kunyonya, tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni msaada kwa wajuzi na wenye hii taaluma.
Sent using Jamii Forums mobile app