POLE, INAONESHA HUNA DESTURI YA KUPAKA MAFUTA MIGUUNI AU MAYBE NI ALLERGY? TAFUTA MAFUTA MAZURI KAMA YA NAZI AU OLIVEHabari zenu wanafamilia, mwenzenu nimekua na tatizo la miguu kama kubabuka ivi na kutengeneza draft, shida inaweza kuwa nini au nitumie dawa gani ili zitoke...
Ahsante
Nini 😂😂😂😂😂Ohoooo tayaaaariiii.
Kishaumanaaaaa hukoo😂😂😂Nini 😂😂😂😂😂