RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Kuna rafiki yangu ana tatizo la fangasi za mdomoni miaka miwili sasa amejaribu kutumia dawa za madukani lakini haziishi.
Ameshatumia dozi zaidi ya nne lakini wapi.
WanaJF tusaidiane labda kuna njia nyingine za asili za kukabiliana na tatizo hilo? Maana linamsumbua sana.
Ameshatumia dozi zaidi ya nne lakini wapi.
WanaJF tusaidiane labda kuna njia nyingine za asili za kukabiliana na tatizo hilo? Maana linamsumbua sana.