Msaada: Tatizo la Estrogen kuwa nyingi kwa mwanaume

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,792
15,693
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole sana.
 
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwambia kwanini zimepanda? Maana hii ni muhimu, ukiondoa chanzo na shida inapotea.
 
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliitumia wapi,.uko nyuma au mbele??
 
Umeoa??
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina gynecomastia tokea darasa LA 5 hadi sasa sijui na Mimi oestrogens zimezidi nishafanya kila njia nimeshindwa maana effect naiona hata kwenye ukuaji Wa maumbile yaani ni very weak nimeamua kumuachia tu aliyeniumba hivyo maybe ana makusudi yake ila sifurahishwi na nilivyo tusaidieni jamani huenda tukapata solution
 
Sasa dawa haijakusaidia inatakiwa urudi kwa dakatari maana yeye ndio anajua kwanini alikuandikia dawa ile ila humu utaambiwa sijui utafute majani ya nini...mwisho wa siku utazurika tu
Kama mwaka mmoja umepita tangu nijihisi mabadiliko katika mwili wangu, in short vingi vilibadilika kama; kupungua hamu ya kungonoka 'sex drive', kutokuwa na mood mara kwa mara, kuongezeka ukubwa wa matiti, hata performance kitandani kushuka tofauti na huko nyuma.

Nikajaribu kumcheki daktari ambaye alinielekeza kufanya vipimo mbalimbali ambapo kipimo kimojawapo kilikuwa cha hormone (testosterone na estrogen), majibu yaliyokuja ni kwamba hormone za kiume (testosterone) ziko normal ila za kike (estrogen) zimekuwa nyingi mno ndio maana zimenisababishia hata tatizo la kukua matiti (gynecomastia).

Aliniandikia dawa inaitwa Letrozole 2mg niitafute nitumie, nilifanikiwa kuipata na kuitumia lakini naona haijanipa matokeo. Je, kuna yeyote anajua dawa inayoweza kunisaidia kushusha estrogen?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom