Msaada: Tatizo la bacteria ukeni na mpangilio usio maalum wa hedhi

Shmaider

JF-Expert Member
Oct 2, 2015
406
120
Nibinti anaumri wa miaka 16,kihistoria aliwahi kua boshen vile vile ameshaugua fangasi/Bacteria ukeni akatumia dawa tatizo likaonekana kwisha lakini baadae akaanza kuhisi muwasho na maumivu makali ukeni wakati wakujisaidia hajandogo,akatumia maji kwa wingi hali ile ikatoweka baadae tena akiwa anajisafisha ukeni kwa kidole wakati anatoa aliona utando wa damu kidoleni.Huu ni mwaka wapili mpangilio wake wahedhi unakuwatofauti yani kunawakati anachelewa kuingia wakati mwingine anawahi kuingia na aikiingia.Dam inakata kati ya siku sita hadi saba kutokana na maelezo hyo huyu binti kunauwezekano wakupata ujauzito?Naafanyeje ilikuepukana nahali kama hizo nilizo eleza?
 
Nibinti anaumri wa miaka 16,kihistoria aliwahi kua boshen vile vile ameshaugua fangasi/Bacteria ukeni akatumia dawa tatizo likaonekana kwisha lakini baadae akaanza kuhisi muwasho na maumivu makali ukeni wakati wakujisaidia hajandogo,akatumia maji kwa wingi hali ile ikatoweka baadae tena akiwa anajisafisha ukeni kwa kidole wakati anatoa aliona utando wa damu kidoleni.Huu ni mwaka wapili mpangilio wake wahedhi unakuwatofauti yani kunawakati anachelewa kuingia wakati mwingine anawahi kuingia na aikiingia.Dam inakata kati ya siku sita hadi saba kutokana na maelezo hyo huyu binti kunauwezekano wakupata ujauzito?Naafanyeje ilikuepukana nahali kama hizo nilizo eleza?
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Picha linaanza bint wa miaka 16 pili ameshawahi kuflash hayo maumiv ni malipo tu kwa alichokifanya
 
miaka 16? keshatoa hadi mimba Mugu msamehe huyu binti pia naombaumtumie malaika wako wamuongoze katika njia ya haki
 
Nibinti anaumri wa miaka 16,kihistoria aliwahi kua boshen vile vile ameshaugua fangasi/Bacteria ukeni akatumia dawa tatizo likaonekana kwisha lakini baadae akaanza kuhisi muwasho na maumivu makali ukeni wakati wakujisaidia hajandogo,akatumia maji kwa wingi hali ile ikatoweka baadae tena akiwa anajisafisha ukeni kwa kidole wakati anatoa aliona utando wa damu kidoleni.Huu ni mwaka wapili mpangilio wake wahedhi unakuwatofauti yani kunawakati anachelewa kuingia wakati mwingine anawahi kuingia na aikiingia.Dam inakata kati ya siku sita hadi saba kutokana na maelezo hyo huyu binti kunauwezekano wakupata ujauzito?Naafanyeje ilikuepukana nahali kama hizo nilizo eleza?
Kwanza alifanya makosa kadhaa na inapasa atubie kwa Muummba wake.
Aende hospitali na aonane na daktari wa magonjwa ya Ngozi. Kama upo Dar nenda zahanati ya UDSM uonane na specialist wa magonjwa ya Ngozi/uzazi. Awe mpole kwa huyo dokta maana anamsikiliza mgonjwa na kumuhoji kwa kima cha chini ni nusu saa. Awe muwazi kueleza historia yake ili dokta aweze msaidia. Akificha ukweli, atakuwa anajidhuru mwenyewe.
 
Back
Top Bottom