Nduhu tabu
Member
- Jul 21, 2017
- 90
- 94
Mimi ni mjasiliamali najihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na sasa ni mwaka wa nne. Tangu juzi kuna jogoo anawika kila ikifika saa mbili na nusu usiku (2:30). Kwa uzoefu wangu wa miaka minne tangu nianze kufuga kuku hii siyo kawaida kabisa.
Naombeni mwenye kujua lolote juu ya hili tuongee hapa. Huyu kuku atakuwa amepatwa na nini.?
Naombeni mwenye kujua lolote juu ya hili tuongee hapa. Huyu kuku atakuwa amepatwa na nini.?