Mtetea una supu nzuri zaidiHivi kati ya mtetea na jogoo yupi supu yake ni nzuri!?.
Ukaona isiwe shida.....ukamfanyaje?Bora huyo anawika saa 2:30
Nlikua na jojoo anawika muda wote, yani akikurupuka tu anawika na sio mara moja, ana kelele balaa, sa tatu, nne, tano, saba, ye anawika tu nikaona isiwe shida!!!!
Ilibidi nimle tu...Ukaona isiwe shida.....ukamfanyaje?
Lakini kumbuka jogoo ndio alikuwa saa ya asili toka enzi na enzi. Yaani akiwika unajua hii itakuwa ni saa ngapi.
Huyo jogoo atakuwa amepotea majira, majogoo huwika kwa kufuatana yani mmoja akiwika ndio wengine wanafuata. Iliwahi kutokea hapa home tulikuwa tunasikiliza mchezo wa redio 'RTD' unaitwa Twende na Wakati alafu kuna jogoo aliwika kwenye redio basi na jogoo wa hapa home akapokea na akawa anawika ifikapo majira yale ya mchezo wa redio..
Kitu cha kufanya ni kutafuta jogoo mwingine ili atakapowika waende sawa... ha ha ha haaaaa, gari mbovu huvutwa na nzima
Ndio mkuu na ukitaka kuamini tafuta redio au simu yenye mlio wa jogoo alafu ingia kwenye banda la kuku, ukiwasikilizisha unawapoteza majira..Hii imenichekesha Mkuu, teknolojia inaathiri nature
Mkuu suala la usalama ni kitu cha msingi kwa mjasiriamali, jenga banda mita 100 kutoka unapolala alafu uamke asubuhi kama utawakuta..Kwahiyo wewe unafugia kuku sebuleni? Au mabanda ya kuku yapo unapolala na kusikilizia radio? Maana kama mjasiriamali unatakiwa kuwa na kuku wengi so lazima wajengewe sehemu tofauti mbali kidogo na unapolala.
Jogoo wako huyo kama wa kwenye kitendawili au fumbo flani hivi.....kama vipi nikupe mji ututajie ni jogoo gani huyo asiekua na muda wa kuwika? Yaani yeye ni wakati wowote tu, iwe usiku au mchana!!?Bora huyo anawika saa 2:30
Nlikua na jojoo anawika muda wote, yani akikurupuka tu anawika na sio mara moja, ana kelele balaa, sa tatu, nne, tano, saba, ye anawika tu nikaona isiwe shida!!!!
ha ha ha hebu kwendraaaaaJogoo wako huyo kama wa kwenye kitendawili au fumbo flani hivi.....kama vipi nikupe mji ututajie ni jogoo gani huyo asiekua na muda wa kuwika? Yaani yeye ni wakati wowote tu, iwe usiku au mchana!!?
Ni nakupa mji uende Chato banaa ukale ugali na dagaaha ha ha hebu kwendraaaaa
UkamfanyajeBora huyo anawika saa 2:30
Nlikua na jojoo anawika muda wote, yani akikurupuka tu anawika na sio mara moja, ana kelele balaa, sa tatu, nne, tano, saba, ye anawika tu nikaona isiwe shida!!!!
Cheki system yake ya saa
1. Ondoa auto update
2. weka 12 hourly mode badala ya 24
Nilimla huyo nkungulume msumbufuUkamfanyaje
Kumbe unajua maana ya NkungulumeNilimla huyo nkungulume msumbufu
NajuaKumbe unajua maana ya Nkungulume