Msaada: tafsiri ya ndoto ya kuokota pesa na biashara ndogo.

ProMagufuli

JF-Expert Member
Apr 6, 2021
219
235
Habari zenu wakuu.

Samahani nina jambo nimelikumbuka nikaona bora nifuatilie kuna nini nyuma yake juu ya ndoto hizi. Ama hazina maana. Nimeota usiku mmoja.

Ya kwanza nimeota niko njiani natembea sehemu siifahamu hakika, nikaona noti kadhaa za efu kumi kumi hivi nikapiga chabo pembeni kama kuna watu then nikaziokota zilikuwa at most 50k or 60k tsh. Ila nikawaza nizitumie kitu cha hovyo tu. Sikumbuki ni kitu gani hasa kama redio hivi. Mengine siyakumbuki.

Ya pili nimeota niko sehemu siifahamu kama mji hivi niko kama na watu kadhaa siwakumbuki tuko tunazunguka. then baadae kukawa na mtu namfahamu ako anauza karanga, katembeza mara kadhaa zinaisha anarudia tena. Na mimi nikachukua hizo karanga nikaenda msaidia kuuza. Sa hapa ndio pana utata. Kuna sehemu nikawa nimeenda kuuza kuna vijana wengi baadhi wakawa wamechukua wakawa wanakula. CHa ajabu baadae nataka pesa wakagoma kutoa hela. Tukazozana and baadae akatokea mtu baki akalipa ile pesa. Me nikapokea nikaendelea na hamsini zangu.
Sasa ningependa kujua kama kuna lolote hapo. au huenda ni mawazo yangu.

SAmahani kwa uandishi mbovu. Atakanielewa naomba msaada.
 
Inaonekana kifikra/ufahamu kwenye kutengenez hela uko chini afu pia unategemea zali/autaki kufight kupata hela coz apo kweny kuokota hela nikutegemea zali na apo unauza karanga kifikra uko chini afu io biashara ni ya mtu so io ni kiroho so applied kimwili..
Ukitaka kukua kiuchumi unatakiwa ubadilishe fikra/ufahamu
 
Hakuna ndoto mbaya kama kuota unaokota pesa,kuota uko unakula chakula,kuota uko kwenye maji unaogelea,kuota uko unakula chakula na marehemu japo mara nyingi ndoto hii huwa haitokei kwa sababu marehemu anaweza kugoma kula au huwa anatoweka muda wa chakula,kuota uko shule ya msingi au sekondari na uliishamaliza siku nyingi...ukiota ndoto hizi muombe sana mungu akukinge na akulinde lolote baya laweza kukutokea....
 
Inaonekana kifikra/ufahamu kwenye kutengenez hela uko chini afu pia unategemea zali/autaki kufight kupata hela coz apo kweny kuokota hela nikutegemea zali na apo unauza karanga kifikra uko chini afu io biashara ni ya mtu so io ni kiroho so applied kimwili..
Ukitaka kukua kiuchumi unatakiwa ubadilishe fikra/ufahamu
.Positivity, umeongea ukweli kabisa. Embu nifanyie kazi
 
Hakuna ndoto mbaya kama kuota unaokota pesa,kuota uko unakula chakula,kuota uko kwenye maji unaogelea,kuota uko unakula chakula na marehemu japo mara nyingi ndoto hii huwa haitokei kwa sababu marehemu anaweza kugoma kula au huwa anatoweka muda wa chakula,kuota uko shule ya msingi au sekondari na uliishamaliza siku nyingi...ukiota ndoto hizi muombe sana mungu akukinge na akulinde lolote baya laweza kukutokea....
Hujanipa tafsiri. Umenitishia tu.
 
Hakuna ndoto mbaya kama kuota unaokota pesa,kuota uko unakula chakula,kuota uko kwenye maji unaogelea,kuota uko unakula chakula na marehemu japo mara nyingi ndoto hii huwa haitokei kwa sababu marehemu anaweza kugoma kula au huwa anatoweka muda wa chakula,kuota uko shule ya msingi au sekondari na uliishamaliza siku nyingi...ukiota ndoto hizi muombe sana mungu akukinge na akulinde lolote baya laweza kukutokea....

imani tu
 
Habari zenu wakuu.

Samahani nina jambo nimelikumbuka nikaona bora nifuatilie kuna nini nyuma yake juu ya ndoto hizi. Ama hazina maana. Nimeota usiku mmoja.

Ya kwanza nimeota niko njiani natembea sehemu siifahamu hakika, nikaona noti kadhaa za efu kumi kumi hivi nikapiga chabo pembeni kama kuna watu then nikaziokota zilikuwa at most 50k or 60k tsh. Ila nikawaza nizitumie kitu cha hovyo tu. Sikumbuki ni kitu gani hasa kama redio hivi. Mengine siyakumbuki.

Ya pili nimeota niko sehemu siifahamu kama mji hivi niko kama na watu kadhaa siwakumbuki tuko tunazunguka. then baadae kukawa na mtu namfahamu ako anauza karanga, katembeza mara kadhaa zinaisha anarudia tena. Na mimi nikachukua hizo karanga nikaenda msaidia kuuza. Sa hapa ndio pana utata. Kuna sehemu nikawa nimeenda kuuza kuna vijana wengi baadhi wakawa wamechukua wakawa wanakula. CHa ajabu baadae nataka pesa wakagoma kutoa hela. Tukazozana and baadae akatokea mtu baki akalipa ile pesa. Me nikapokea nikaendelea na hamsini zangu.
Sasa ningependa kujua kama kuna lolote hapo. au huenda ni mawazo yangu.

SAmahani kwa uandishi mbovu. Atakanielewa naomba msaada.
Uwe unasali au uwe unaomba mungu kwa imani yako kabla ya kulala. Jaribu kutoruhusu mawazo mengi kichwani mwako na bora ni kujishugulisha ili usiwaze vitu visivyo na faida kwako hasa vilivyo kuzidi uwezo.
 
Habari zenu wakuu.

Samahani nina jambo nimelikumbuka nikaona bora nifuatilie kuna nini nyuma yake juu ya ndoto hizi. Ama hazina maana. Nimeota usiku mmoja.

Ya kwanza nimeota niko njiani natembea sehemu siifahamu hakika, nikaona noti kadhaa za efu kumi kumi hivi nikapiga chabo pembeni kama kuna watu then nikaziokota zilikuwa at most 50k or 60k tsh. Ila nikawaza nizitumie kitu cha hovyo tu. Sikumbuki ni kitu gani hasa kama redio hivi. Mengine siyakumbuki.

Ya pili nimeota niko sehemu siifahamu kama mji hivi niko kama na watu kadhaa siwakumbuki tuko tunazunguka. then baadae kukawa na mtu namfahamu ako anauza karanga, katembeza mara kadhaa zinaisha anarudia tena. Na mimi nikachukua hizo karanga nikaenda msaidia kuuza. Sa hapa ndio pana utata. Kuna sehemu nikawa nimeenda kuuza kuna vijana wengi baadhi wakawa wamechukua wakawa wanakula. CHa ajabu baadae nataka pesa wakagoma kutoa hela. Tukazozana and baadae akatokea mtu baki akalipa ile pesa. Me nikapokea nikaendelea na hamsini zangu.
Sasa ningependa kujua kama kuna lolote hapo. au huenda ni mawazo yangu.

SAmahani kwa uandishi mbovu. Atakanielewa naomba msaada.
Tafsiri ya kuokota hela kwa kiwango chochote ulichookota, iwe silver ama noti,,,,,,, ndivyo viwango vyako vya kufanikiwa kwako kwa siku zako za usoni ktk shughuli zako.
hakuna anaependa kumiliki viwango vidogo vya mali ama fedha. hivyo piga DUA / MAOMBI kwa Mungu ili akuze viwango vyako zaidi ya hivyo ulivyoviona ktk ulimwengu wako wa kiroho [ ndotoni].
 
Back
Top Bottom