babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,071
- 15,927
Nimeota ndoto juzi sitaisema hapa hata niliposhtuka nikapuuzia tu kwamba haiwezekani.
Ni ndoto tu.
Ni ndoto tu.
Haina maana yoyote hiyo ndoto,aendelee tu na maisha yakeHabarini za leo marafiki.
Kuna ndoto hapa nimesimuliwa na kaka yangu wa damu kabisa asubuhi hii, nimeogopa kidogo.
Kaka yangu ameota anajiandaa kumwoa ndugu yetu, mama yetu mdogo, hii inamaana gani.
Naombeni watu wenye uzoefu na ndoto waandike chochotechochote
Mods naombeni katika huu uzi mtoe comment zisizo na maana.
Tupo seriously hapa kuna watu wanaandika ujinga, tafadhari watu kama hawa washughurikieni.
Ni bora tuwe na comment moja inayofundisha na kutolea ufafanuzi kuliko kuwa na comment nyingi zisizofaa.
Rafiki embu jaribu kueleza kiundani kidogo, kaka yangu wala hajaoa, pia hajawai kuwaza vitu kama hivyo. Ni imetokea tu kaota hivyo na ndio maana kanisimulia ili nilifikishe kwa watu wenye uelewa na ndoto wapate kutoa ufafanuzi zaidi.Huwezi tu kifasiri ndoto kuna vitu lzm uangalie!
Ameota akiwa wapi?
Kaka ako ameoa tayari au ndo anatarajia,yuko kwenye maandalizi nk,na ana mtu tayari au bado anatafuta?
Wakati mwingine ukute anamuomba Mungu kwenye hili jambo,then Mungu anamjibu kwa ndoto kumuonyesha tatizo lilipo ye haelewi!
Soma Ayubu 33:14-17
Generally sio ndoto nzuri,naona ndoa za miungu tu hapo zimetumia sura ya mama ake mdogo!
Na ndoa hizo huwa zipo kiagano(shule pana kidogo hii)
Ila kuna namna ya kuomba na kutoka hapo sio issue!
Mwanbie aende kanisana eagt city center akaombewe pale na pastor KATUNZI Kuna kitu sirini inawezekana kinaendelea kimbia kwa Yesu ndugu... utanikumbuka badaeHabarini za leo marafiki.
Kuna ndoto hapa nimesimuliwa na kaka yangu wa damu kabisa asubuhi hii, nimeogopa kidogo.
Kaka yangu ameota anajiandaa kumwoa ndugu yetu, mama yetu mdogo, hii inamaana gani.
Naombeni watu wenye uzoefu na ndoto waandike chochotechochote
Mods naombeni katika huu uzi mtoe comment zisizo na maana.
Tupo seriously hapa kuna watu wanaandika ujinga, tafadhari watu kama hawa washughurikieni.
Ni bora tuwe na comment moja inayofundisha na kutolea ufafanuzi kuliko kuwa na comment nyingi zisizofaa.
Ahsante nduguMwanbie aende kanisana eagt city center akaombewe pale na pastor KATUNZI Kuna kitu sirini inawezekana kinaendelea kimbia kwa Yesu ndugu... utanikumbuka badae
Khe!Mods naomba kuhamishia huu uzi kwenye jukwaa la dini.
🤣🤣🤣ya kaka yako yanakutesa hivo yangekuwa yako? unajuaje yaliyomo moyoni mwa kaka yako, kama anampenda kweli ila kaja na styl ya ndoto kuwasikilizia reaction yenu?
Pia kuna FANTASY na sio ndotoKuna ndoto kutoka kwa Mungu
Kuna ndoto kutoka kwa shetani
Kuna ndoto nyevu
Kuna ndoto kutokana na matukio au uchovu
Chagua hapo
What if he's fantasizing not dreamingAcha ujinga mkuu, embu andika maana ya ndoto.
Atakua CCM tu huyoHabarini za leo marafiki.
Kuna ndoto hapa nimesimuliwa na kaka yangu wa damu kabisa asubuhi hii, nimeogopa kidogo.
Kaka yangu ameota anajiandaa kumwoa ndugu yetu, mama yetu mdogo, hii inamaana gani.
Naombeni watu wenye uzoefu na ndoto waandike chochotechochote
Mods naombeni katika huu uzi mtoe comment zisizo na maana.
Tupo seriously hapa kuna watu wanaandika ujinga, tafadhari watu kama hawa washughurikieni.
Ni bora tuwe na comment moja inayofundisha na kutolea ufafanuzi kuliko kuwa na comment nyingi zisizofaa.
Yeah walau kule mtu anaweza, kuandika vitu vya maana.Khe!
Hizo ni n.y.e.g.e. Mwambie aende Riverside ama Sinza nyakati za usiku kila anapopata ndoto hizo. Akienda mara tatu au nne ndoto nyevu zitakoma na atuachie mamake mdogo.Habarini za leo marafiki.
Kuna ndoto hapa nimesimuliwa na kaka yangu wa damu kabisa asubuhi hii, nimeogopa kidogo.
Kaka yangu ameota anajiandaa kumwoa ndugu yetu, mama yetu mdogo, hii inamaana gani.
Naombeni watu wenye uzoefu na ndoto waandike chochotechochote
Mods naombeni katika huu uzi mtoe comment zisizo na maana.
Tupo seriously hapa kuna watu wanaandika ujinga, tafadhari watu kama hawa washughurikieni.
Ni bora tuwe na comment moja inayofundisha na kutolea ufafanuzi kuliko kuwa na comment nyingi zisizofaa.