makua
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 208
- 39
Ndugu wana jf,
Naomba kama kuna mtu humu anakazi yeyote kati ya zifuatazo naomba anifahamishe kwani nina uhitaji mkubwa wa kazi....
1. Kama utahitaji mtu wa records management katika kampuni au shirika lako.
2. Kama una workshop ya sofa,mimi nifundi na ninaexperience ya kutosha.
Mfano. (picha hapo chini)
3. Napamba kumbi za sherehe (decoration)
4. Nina uzoefu wa kuuza fenicha katika show room kubwa na ndogo.
5. Nina uzoefu wa kuuza duka la nguo.
NB: Elimu yangu ni kidato cha nne with certificate of Records Management.
Mwenye swali niko tayar kulijibu
Naomba kama kuna mtu humu anakazi yeyote kati ya zifuatazo naomba anifahamishe kwani nina uhitaji mkubwa wa kazi....
1. Kama utahitaji mtu wa records management katika kampuni au shirika lako.
2. Kama una workshop ya sofa,mimi nifundi na ninaexperience ya kutosha.
Mfano. (picha hapo chini)
3. Napamba kumbi za sherehe (decoration)
4. Nina uzoefu wa kuuza fenicha katika show room kubwa na ndogo.
5. Nina uzoefu wa kuuza duka la nguo.
NB: Elimu yangu ni kidato cha nne with certificate of Records Management.
Mwenye swali niko tayar kulijibu