Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 323
- 210
Jumatano iliyopita nilisajili laini ya ttcl kwa wakala wa kwenye magari yao lakini laini ilikuwa inasoma emergency akaniambia badaeeee itasoma lakini taarifa zangu zinafanyiwa kazi lakini kimya tokea wiki iliyopita na kinachoniuma nilinunua vocha za 5000