Msaada tafadhari kuhusu utata wa lugha

Mimi na mpenz wang wa kike tuligombana . Baada ya hapo mawasiliano yakakatika. Baada ya siku kadhaa tulipoanza kuwasiliana, akaniambia kwamba hanipendi. Nilipokea kauli hiyo kwa moyo mmoja. Nkaamua kuishi ninavyotaka. Baada ya siku 2, huyu aliyesema Hanipendi, anadai nisimfanyie vitu vibaya, kama nmemchoka nmwambie.

Je kauli yake ya Sikupendi aliitoa kwa bahati mbaya , nashindwa kuelewa.
Ungemuuliza.... maana wengine wanatikisaga kiberiti ili kujua kama kujua kama faru John yupo kaburini au la
 
Kwani haujui madeko. Alitaka umbembeleze ujishushe kwake. Madhara ni kuonekana boya flan hivi na kukutawala. Faida ni kukuza upendo.
 
Mimi na mpenz wang wa kike tuligombana . Baada ya hapo mawasiliano yakakatika. Baada ya siku kadhaa tulipoanza kuwasiliana, akaniambia kwamba hanipendi. Nilipokea kauli hiyo kwa moyo mmoja. Nkaamua kuishi ninavyotaka. Baada ya siku 2, huyu aliyesema Hanipendi, anadai nisimfanyie vitu vibaya, kama nmemchoka nmwambie.

Je kauli yake ya Sikupendi aliitoa kwa bahati mbaya , nashindwa kuelewa.

alitaka bembelezwa bwana wewe.
 
Tatizo umeshagundua anakupenda sana ndio maana hujali lolote litakalotokea katika mahusiano yenu. . .sio poa

In short alikua anakupima ili aone kama utaonesha hali ya kujali

Kama unampenda puuzia iyo kauli yake ya kutokukupenda muanze upya
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom