Msaada tafadhari ipi simu bora kati ya Huawei Gr5 na Huawei Gr 3

Llio 002

JF-Expert Member
Jul 14, 2015
1,609
2,027
Habari wana jf,kichwa cha habari kinahusika ipi simu bora kati ya hizo simu mbili? Tafadhari nahitaji majibu yenu kitaalamu
 
Gr5 ni ya mwaka 2017 na hiyo Gr3 pia ni ya mwaka 2017 mkuu
almost zinafanana, zinatumia soc moja. angalia tu mambo mengine kama storage/ram/ukubwa wa kioo etc.

hio gr5 kioo chake ni kikubwa 5.5 wakati gr3 ni kidogo 5.2. configuration za ram na storage ni nyingi.
 
almost zinafanana, zinatumia soc moja. angalia tu mambo mengine kama storage/ram/ukubwa wa kioo etc.

hio gr5 kioo chake ni kikubwa 5.5 wakati gr3 ni kidogo 5.2. configuration za ram na storage ni nyingi.
Asante sana mkuu kwa maelezo hayo inaonesha ni vyema nikanunuwa Gr5
 
Kama alivyosema jamaaa hapo juuu hufanana ila kwenye mfumo endeshaji hazifanani hata kidg gr3 ni kali sana
 
Nauza Huawei Gr5 2017 laki tano na nusu kwa mwenye uhitaji tuwasiliane 0625576082
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom