Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 874
- 1,748
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri.
Nna kaunjezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatikana baada ya kama mwezi na nusu.
Mimi nilitaka kuweka hii pesa mpaka ninunue bati ambazo nitaomba ushauri muda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yaani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati.
Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu
Nna kaunjezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatikana baada ya kama mwezi na nusu.
Mimi nilitaka kuweka hii pesa mpaka ninunue bati ambazo nitaomba ushauri muda ukifika. Ila kwa sasa naomba ushauri maana fundi ananihakikishia tunaweza kupigilia mbao tukisubiri bati yaani mbao zikae juu ya mjengo mwezi unusu kungoja bati.
Binafsi naogopa sana kwanza je mvua haiwezi kuharibu mbao? Je wezi hawawezi kupita nazo japo zimebondelewa misumari? Wenu mtiifu