Msaada tafadhali

Daole

Senior Member
Sep 23, 2010
161
109
naomba mwenye majina ya wanafunzi waliopata mkopo mwaka jana 2010/2011( MNMA) chuo cha Kumbukumbu ya Mwalim Nyerere. Tafadhali nina shida nayo. Nimejaribu kugoogle,kusearch humu kwenye forum na pia kwa michuzi nimeshindwa hata kwenye web yao(heslb) nimeshindwa kuyapata. nawaombenu msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom