Msaada tafadhali ....!

ndegeulaya

Member
Apr 26, 2011
74
13
Em naombeni msaada aise jamani wana JF, mimi natumia simu aina ya Samsung Blackjack (Sgh-i607), sasa kinachonitatiza siku mbili tatu hizi ni kwamba nikijaribu ku'visit JF website kupitia simu yangu ya mkononi, yenyewe by default inajifungua in PC Mode, na sioni tena kile kitufe cha JF Mobile, je tatizo ni JF website yenyewe, au ni settings kwenye simu yangu, na kama ni settings nifanye vipi? msaada tafadhali.
 
Em naombeni msaada aise jamani wana JF, mimi natumia simu aina ya Samsung Blackjack (Sgh-i607), sasa kinachonitatiza siku mbili tatu hizi ni kwamba nikijaribu ku'visit JF website kupitia simu yangu ya mkononi, yenyewe by default inajifungua in PC Mode, na sioni tena kile kitufe cha JF Mobile, je tatizo ni JF website yenyewe, au ni settings kwenye simu yangu, na kama ni settings nifanye vipi? msaada tafadhali.



Hili sio jukwaa lake! Unapeleka sehemu husika.
 
Shusha page hadi mwisho. Utaona kuna sehemu imeandikwa "JF NEW", click hapo.
Itakuletea choice mbili. JF NEW, JF MOBILE,chagua JFmobile. Click kwenye Jf Mobile. Shughuli itakuwa imekwisha.
 
Shusha page hadi mwisho. Utaona kuna sehemu imeandikwa "JF NEW", click hapo.
Itakuletea choice mbili. JF NEW, JF MOBILE,chagua JFmobile. Click kwenye Jf Mobile. Shughuli itakuwa imekwisha.

Asante kwa msaada wako Mzee mkubwa, nimejaribu kufuatilia maelekezo yako na nashkuru kitufe cha Options nimekiona, sasa tatizo langu bado ni kwamba hata nikishachagua JF Mobile simu yangu hafanyi badiliko lolote from PC Mode, na nikirudi kwenye kitufe nakuta yenyewe imeji-set tena back to JF New by default, au nakosea wapi? Msaada tafadhali ... !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom