Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Heshima kwenu wadau,
Kwa siku nyingi nimependa sana kuwa mtaalam wa ICT ila sijajua nisome kozi gani na chuo gani kwa hapa Tz ili hatimaye nitimize ndoto yangu. Napenda ushauri wenu ni chuo gani kizuri kwa hapa TZ kwa kiwango cha Diploma au Degree,namaanisha chuo ambacho hakiko "too theoretical" coz najilipia mwenyewe ili nipate ujuzi wa ICT then nijiajiri niachane na hii kazi ninayofanya sasa.Naombeni msaada wa dhati kwa kuwa ICT ni pana na pia vyuo vipo vingi sasa nachanganyikiwa niende kipi kitakachokidhi matakwa ya kiu yangu,nataka ujuzi zaidi na sio vyeti.
Nilisoma masomo ya sayansi O'level na A'level PCM miaka ya nyuma sana na nilifaulu kwa kiwango cha kawaida.
Natanguliza shukurani za dhati...
Kwa siku nyingi nimependa sana kuwa mtaalam wa ICT ila sijajua nisome kozi gani na chuo gani kwa hapa Tz ili hatimaye nitimize ndoto yangu. Napenda ushauri wenu ni chuo gani kizuri kwa hapa TZ kwa kiwango cha Diploma au Degree,namaanisha chuo ambacho hakiko "too theoretical" coz najilipia mwenyewe ili nipate ujuzi wa ICT then nijiajiri niachane na hii kazi ninayofanya sasa.Naombeni msaada wa dhati kwa kuwa ICT ni pana na pia vyuo vipo vingi sasa nachanganyikiwa niende kipi kitakachokidhi matakwa ya kiu yangu,nataka ujuzi zaidi na sio vyeti.
Nilisoma masomo ya sayansi O'level na A'level PCM miaka ya nyuma sana na nilifaulu kwa kiwango cha kawaida.
Natanguliza shukurani za dhati...