The Inquisitive
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 177
- 29
Naomba mnisaidie kunitajia hoteli nzuri na reasonable rates huko Zanzibar. Nitashukuru kupata contact details za hizo sehemu. Asanteni.
<br />Ziko nyingi tu, Je una mpango wa kuzivamia na kuzilipua?
<br />wakishakutajia ili ujihakikishie mwenyewe tumia hzo darubini kuhakikisha hkohko uliko kabla hujaenda zenji...........huh
Asante.Zipo nyingi tu nenda Hotel mchamba wima., iko pande za chake chake.,yakheeee!