Ndio maana ameshauriwa atawanye maombi yake badala ya kufikiria MUHAS tu.Vyuo vya serikali MD hapati labda famasia tena awahi mapema mwaka jana muhas ilikwa mwisho 6 na na udom 7 kwa MD....... Anyway kama ana undgu na jiwe uhakika kupata hvyo vyuo..........