Msaada tafadhali wajuzi wa smart phones

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,382
73,977
Nimenunua simu mpya, nikaweka line zangu toka simu ya zamani. Nikakonect internet na whatsapp, loh! whatsapp zangu contacts ma msgs hazikurudi. Nifanyeje?
 
Kwanza uliweka Google account yako ya simu ya zamani kwenye simu mpya?

Pili, uli backup WhatsApp chats zako kutoka simu ya zamani kupitia Google Drive backup?

Sent using Jamii Forums mobile app
nimerudisha line kwenye simu ya zamani, kila kitu kimerudi as before. Niongoze nifanyeje sasa kuokoa jahazi
 
yes hata sasa niko inbox gmail account
Ok basi ingia WhatsApp. Bonyeza vidoti vitatu pale juu kisha ingia Settings.

Hapo chagua Chats kisha Chat Backup.

Kisha set kwenye Google Drive Settings kma kwenye screenshot yangu hapo chini.

Baada ya hvyo bonyeza backup. Itabackup msg zako na picha zako zote (ukichagua kuback up na videos jua kuwa MB zitakazo tumika zitakua ni nyingi).

Hapo nenda kwenye simu yako mpya, rudisha gmail account yako. Baada ya hapo either clear data ya WhatsApp iliyokua kwenye hyo simu mpya. Kma hujui jinsi ya kuclear wewe futa tu WhatsApp kwenye simu mpya hyo na uidownload upya.

Ukishadownload upya fungua app, endelea na process zote mpaka itakapo kuja sehem ya ku restore backup. Hapo utapata option ya kuchagua Google account yako na kurudisha kila kitu chako.
Screenshot_20210228-183735.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimerudisha line kwenye simu ya zamani, kila kitu kimerudi as before. Niongoze nifanyeje sasa kuokoa jahazi
Alternative simu ya zamani kama una file manager Ingia internal storage Kisha nenda folder la whatsapp Kisha database utakuta msg zako zote humo, copy kila kitu then Hamisha simu mpya.

Screenshot_20210228-190630.png

Unaweza tumia memory card, ama app mbalimbali za kuhamishia vitu.

Alternative nyengine simu za kisasa kama samsung wana app zao za kuhamishia vitu, kwa Samsung inaitwa smart switch, ukiweka simu zote mbili ina Hamisha kila kitu.
 
Ok basi ingia WhatsApp. Bonyeza vidoti vitatu pale juu kisha ingia Settings.

Hapo chagua Chats kisha Chat Backup.

Kisha set kwenye Google Drive Settings kma kwenye screenshot yangu hapo chini.

Baada ya hvyo bonyeza backup. Itabackup msg zako na picha zako zote (ukichagua kuback up na videos jua kuwa MB zitakazo tumika zitakua ni nyingi).

Hapo nenda kwenye simu yako mpya, rudisha gmail account yako. Baada ya hapo either clear data ya WhatsApp iliyokua kwenye hyo simu mpya. Kma hujui jinsi ya kuclear wewe futa tu WhatsApp kwenye simu mpya hyo na uidownload upya.

Ukishadownload upya fungua app, endelea na process zote mpaka itakapo kuja sehem ya ku restore backup. Hapo utapata option ya kuchagua Google account yako na kurudisha kila kitu chako.View attachment 1714151

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana, it is making a backup, ila iko a bit slow..60% after 20 min. Nina GB 44 nadhani zitatosha na video
 
Alternative simu ya zamani kama una file manager Ingia internal storage Kisha nenda folder la whatsapp Kisha database utakuta msg zako zote humo, copy kila kitu then Hamisha simu mpya.

View attachment 1714179
Unaweza tumia memory card, ama app mbalimbali za kuhamishia vitu.

Alternative nyengine simu za kisasa kama samsung wana app zao za kuhamishia vitu, kwa Samsung inaitwa smart switch, ukiweka simu zote mbili ina Hamisha kila kitu.
Nitajaribu ile ya kwanza iki fail. sante sana tena sana
 
Ok basi ingia WhatsApp. Bonyeza vidoti vitatu pale juu kisha ingia Settings.

Hapo chagua Chats kisha Chat Backup.

Kisha set kwenye Google Drive Settings kma kwenye screenshot yangu hapo chini.

Baada ya hvyo bonyeza backup. Itabackup msg zako na picha zako zote (ukichagua kuback up na videos jua kuwa MB zitakazo tumika zitakua ni nyingi).

Hapo nenda kwenye simu yako mpya, rudisha gmail account yako. Baada ya hapo either clear data ya WhatsApp iliyokua kwenye hyo simu mpya. Kma hujui jinsi ya kuclear wewe futa tu WhatsApp kwenye simu mpya hyo na uidownload upya.

Ukishadownload upya fungua app, endelea na process zote mpaka itakapo kuja sehem ya ku restore backup. Hapo utapata option ya kuchagua Google account yako na kurudisha kila kitu chako.View attachment 1714151

Sent using Jamii Forums mobile app
asante racka98 nilifanikwa. Ila nisaidie tena, kuhamisha contacts za simu inanizingua kidogo. Nisaidie tena.
 
asante racka98 nilifanikwa. Ila nisaidie tena, kuhamisha contacts za simu inanizingua kidogo. Nisaidie tena.
Nenda settings -> Accounts -> Chagua Google account yako

Baada ya hapo chagua option ya Account sync (kwenye simu zingine hii option ipo chini ya vile vidoti vitatu kule juu kulia)

Ukiingia humo washa Contacts sync. Ita backup contacts zako kiita utaenda kwenye simu mpya na kurudia hii process. Itahamisha contacts zote kwenye hyo simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom