Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,085
- 13,300
*sndlxwjadmflrbaanxdkdldMaana yake "mtumba ulionunuwa ume expire, peleka scrap yard".
*sndlxwjadmflrbaanxdkdldMaana yake "mtumba ulionunuwa ume expire, peleka scrap yard".
huyo ni mwehu ila hana cheti cha Mirembe................Una maneno ya kuny..a wewe! Jitu zima hovyo.
Mwanzo nilitamani kujibu ila nilihisi anatupima tu akili.. Maana taa zote zilivyo na gari halijawashwa ni kawaida kuwa hivyo labda kama alichomaanisha tumemuelewa tofautiTuanzie picha ya mwisho hii Kushoto hiyo taa ya njano ni taa ya check engine hapo inakuonesha kuwa gari yako ina tatizo kwenye mfumo wake wa engine linaweza kuwa dogo au kubwa ubashauriwa kutoendelea kulitumia mpaka u diagnose taa ya kati hiyo taa kama kibakuli ni engine oil hapo mjomba jua kabisa gari yako haina oil ukithubutu kuliendesha ujue unaweza kunockisha engine hapo haina nmna oil iko below minimum level, na hiyo taa ya mwisho yenye + _ hapo mjomba bettery yako ina shida ibadilishe au recharge haina namna
Angalizo taa zote hizi huwa zinawaka pindi gari ikiwa on lakini mara baada ya kuwaka huwa zinatoweka isipokuwa taa chache tu hivo ukiona taa imeendelea kuwaka hata baada ya kuwasha gari hapo haina jinsi tafuta gereji jirani ili hiyo gari ichunguzwe jua kuna tatizo.
Hata hivyo hiyo gari uliyop[iga picha inaonekana ilikuwa on ilikuwa haijawashwa maana RPM meter inaonekana iko kwenye zero kuonesha kuwa wakati hiyo gari unaipiga engine ilikuwa haingurumi ebu jaribu kuiwasha then weka picha tena tuone ni taa ngapi bado zinawaka tukushauri vizuri
Una maneno ya kuny..a wewe! Jitu zima hovyo.
huyo ni mwehu ila hana cheti cha Mirembe................
Unafikiri nnakutania? Fanya uchunguzi utakuta 90% ya hii mitumba ya Japan inayoletwa Tanzania huko kwao imefikia muda wa kuwa kuitunza ni gharama kubwa kuliko kuipeleka scrap yard.
Kenya walistukia hilo na kwa uda mrefu sasa marufuku kuingiza ya miaka (nadhani mitano) nyuma.
Hiyo imesha expire, hata ukikasirika huo ndiyo ukweli.
Sina haja ya kuremba-remba na kudanganyana humu.
Na pengine alikuwa anatuonesha kama ana gari.Mwanzo nilitamani kujibu ila nilihisi anatupima tu akili.. Maana taa zote zilivyo na gari halijawashwa ni kawaida kuwa hivyo labda kama alichomaanisha tumemuelewa tofauti
umejuaje..............au we ni ''mwanga''Haya iwacheni tu iwe "riziki" ya mafundi wa bongo. Huko ilikotoka ilikuwa inapelekwa scrap yard, akatokea mjanja mmoja akainunuwa kwa bei ya scrap yard akijuwa kuna Wajinga Ndiyo Waliwao huko Tanzania.
View attachment 463758View attachment 463759View attachment 463760View attachment 463761View attachment 463762
Habarini wanajamvi!
Naomba msaada wenu kwa alama hizo kwenye viambatanishi kwani zimeanza kuonekana hivi karibuni kwenye gari yangu.
Na baada ya maana yake nini cha kufanya kukabiliana na na alama hizo.
Vile vile taa nikiwasha kwenye dash board inaonekana giza tu
Nadhani msaada nitaupata hapa jukwaani.
Nawasilisha
Hana lolote huyu , hivi huwa mnamuamini? pole yenu!Kumbe na wewe pia huwa unachapia bibi? Nilifikiri elimu yako ni bora zaidi
umejuaje..............au we ni ''mwanga''
kumbe we ni mrundi....tatizo kila kitu unajifanya unajua.....ujanja ukiuzidisha mwishowe utaitwa mshamba- Fid QSoma kijana utafaidika, gari hiyo imeshaingia kwenye kundi linaloitwa ELV, End of Life Vehicle, kabla halijaletwa Tanzania.
Unajuwa Watanzania wengi sana, mnapoelimishwa mnakuwa wabishi sana, badala ya kulifanyia kazi japo kiduchu suala mnalofahamishwa badala yake nyinyi mnabisha kijinga tu.
Tena kwa kukujuza tu, Japan kuna sheria kabisa ya kupeleka haya magari scrap yard au kuwapelekea Wajinga Ndiyo Waliwao, akina nyinyi hao.
Mnazidi kunihakikishia kuwa mlioenda shule kusomea ujinga ni wengi sana. Jisomee:
The Recycling of End-of-Life Vehicles in Japan|JFS Japan for Sustainability
Faidika na darsa la FaizaFoxy waJF.
kumbe we ni mrundi....tatizo kila kitu unajifanya unajua.....ujanja ukiuzidisha mwishowe utaitwa mshamba- Fid Q
kweli hijuiNaomba kukusaidia tuu japo mimi sina gari nna experience vichache ila ntataja kimoja, mengine waje wengine kuna hicho kialama cha gari then kama milango iko wazi hyo inamaanisha mlango huja lock vzr kwa mfano labda una Passo, au Ist ina milango mitano kati ya hyo kuna mmoja hujalock vzr ama unapofungua hicho kialama hutokea... Nimemaliza waje wengine
Hapo kuna alama nyingi ambazo kukuelewesha ni shida kidogo kwenye kuzitofautisha moja baada ya nyingine kwenye maelezo lakin nadhan utaelewa:View attachment 463758View attachment 463759View attachment 463760View attachment 463761View attachment 463762
Habarini wanajamvi!
Naomba msaada wenu kwa alama hizo kwenye viambatanishi kwani zimeanza kuonekana hivi karibuni kwenye gari yangu.
Na baada ya maana yake nini cha kufanya kukabiliana na na alama hizo.
Vile vile taa nikiwasha kwenye dash board inaonekana giza tu
Nadhani msaada nitaupata hapa jukwaani.
Nawasilisha
Sheria mimi nnazo japo kidogo zitakusaidia...Tafuta namna jinsi ya kukutumia coz zipo inform of pdf (soft copy)Mimi hamjanielewa jamani. Sijakataa masuala ya kusoma ila kuna mdau hapo juu kamwambia jamaa dereva uchwara, jamaa ni kweli hajui ndio maana ameuliza, ni suala la kumsaidia tu na si kuanza kumrushia maneno. Mwanao au mtu akikufata live akaomba msaada kama huo utaanza kumwambia wewe ni ...uchwara badala ya kumpa msaada? Au kwa sababu kaulizia mtandaoni?
Na ni kweli hizo sheria sizijui wala hujakosea, ingependeza sana uniandikie angalau hizo kumi unitoe ujinga.
Ulitaka ampe msaada gani zaid ya huo... tatizo tunapenda kulea ujinga... lazima tujue kuwa Udereva ni taaluma na ina weredi wake, sasa huyu kukokota chomba hajui hata alama inatomwonesha hajafunga M/milango hilo ni balaa...Sasa ndio umemsaidia nini hapa???
Ipo ivyo man watu wanapenda maneno mepesi lkn kuna mambo mawili Huwa hatafichiki kamwe... Ukweli na JuaUnafikiri nnakutania? Fanya uchunguzi utakuta 90% ya hii mitumba ya Japan inayoletwa Tanzania huko kwao imefikia muda wa kuwa kuitunza ni gharama kubwa kuliko kuipeleka scrap yard.
Kenya walistukia hilo na kwa uda mrefu sasa marufuku kuingiza ya miaka (nadhani mitano) nyuma.
Hiyo imesha expire, hata ukikasirika huo ndiyo ukweli.
Sina haja ya kuremba-remba na kudanganyana humu.