Msaada Tafadhali: Namna ya kutoa lebo kwenye chupa

bintishomvi

JF-Expert Member
Mar 21, 2015
1,164
831
Habari wapendwa, naomba ujuzi wa kutoa ya lebo ya kwenye chupa mfano Heineken na Windhoek ili nipate unafuu maana natumia muda mwingi kutoa na nachelewa kupata pesa wateja nawachelewesha.
 
maana natumia muda mwingi kutoa na nachelewa kupata pesa wateja nawachelewesha.

hzo lebo ukitoa then unauza chupa au?
 
Process hizo hapo
IMG_20191116_074457.jpeg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom