Genecandy
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 491
- 882
Habari Dears na Wadau wote:
Jamani nahitaji ushauri, Mdogo wangu ameolewa mwaka 1 ulopita anasema kabla hawajaoana na Mumewe walipima mara moja na wote wakaonekana Wapo negative!
Wameishi mpaka kipindi hiki alichokuja kushika ujauzito alipoenda kuanza 'Clinic' ikabidi aende na Mumewe katika kupima ikaonekana Mume ni positive na yeye ni negative!
Kachanganyikiwa kwasababu Hospitali wamewaambia inabidi Mume aanze dozi ili asije kumwambukiza toto na yeye mwanywe japo ndo wameishi kipindi chote wanasex bila kinga kama Mume na Mke lakini yaye ndio kasalimika
Jamani ushauri anaohitaji anasema anampenda sana Mumewe na Mwanaume anaonekana hayupo sawa toka apate hayo majibu sasa imebidi amwahidi kwamba hatomuacha ili amsaidie asije kufa kwa stress!
Dears na Wada naomba mumsaidie kimawazo ili aendelee kuishi na Mumewe bila hofu ya kuja kuambukizwa. Afanye nini katika life style ya sasa ya kuishi ili waendelee kuwa happy na yeye kutokuwa na hofu ili aendelee kumuhudumia Mumewe kama awali!
PS; Mumewe bado hajaanza kutumia dozi mpaka sasa na hawafanyi chochote kwa siku kadhaa sasa.
Asanteni!
Jamani nahitaji ushauri, Mdogo wangu ameolewa mwaka 1 ulopita anasema kabla hawajaoana na Mumewe walipima mara moja na wote wakaonekana Wapo negative!
Wameishi mpaka kipindi hiki alichokuja kushika ujauzito alipoenda kuanza 'Clinic' ikabidi aende na Mumewe katika kupima ikaonekana Mume ni positive na yeye ni negative!
Kachanganyikiwa kwasababu Hospitali wamewaambia inabidi Mume aanze dozi ili asije kumwambukiza toto na yeye mwanywe japo ndo wameishi kipindi chote wanasex bila kinga kama Mume na Mke lakini yaye ndio kasalimika
Jamani ushauri anaohitaji anasema anampenda sana Mumewe na Mwanaume anaonekana hayupo sawa toka apate hayo majibu sasa imebidi amwahidi kwamba hatomuacha ili amsaidie asije kufa kwa stress!
Dears na Wada naomba mumsaidie kimawazo ili aendelee kuishi na Mumewe bila hofu ya kuja kuambukizwa. Afanye nini katika life style ya sasa ya kuishi ili waendelee kuwa happy na yeye kutokuwa na hofu ili aendelee kumuhudumia Mumewe kama awali!
PS; Mumewe bado hajaanza kutumia dozi mpaka sasa na hawafanyi chochote kwa siku kadhaa sasa.
Asanteni!