Kama Kaka yako alikua mwanzoni na sasa hivi hali tena ajue kabisa kuna jamaa anachakachua kwa ufundi wa hali ya juu na shemejio kesha ambiwa kuwa hata kama kaka yako atataka asimpe....akimpa kaka yako shemeji yako na huyo Mchakachuaji kwisha habari....So hapo shemeji kachagua Pwani na kaamua kukosa Bara....mwambie kaka yako kuwa shemejia yako kicheche ampige chini alete mwingine.....
Miaka minne.
Amwambie anataka kuoa mke mwingine atakayemsaidia mahitaji ya kindoa hivyo anaomba ushauri kwa mkewe
Hili jukwaa samtaims linafurahisha sana... haya ngoja tijisomee ati
gud point,infedelity hitake place yake!
Imezidiwa na gonjwa la kusinzia kitandani
sio kweli bwana...
tukikaa kimya lazima kuna jambo,
kukiwa na communication ndani ya nyumba,ndoa haiwezi kufikia hatua mbaya namna hii..
Mpenzi sasa huku kutojipenda kunaanzia wapi katikati ya ndoa.......... mie nkadhani kamaduuhhh mbona kidogo hivyo kwa mapenzi kuanza kupungua...
labda huyo mkeo she is insecure about her body...
maanake kama mwanamke hajipendi ni ngumu sana kumpenda au kumfurahisha mtu mwingine...
Nimeipenda avatar yako ya leo.................lakini ile ya siku zote imetulia......lol!!
duuuhh hiyo iliuwa dedication kwa mtu hapa JF.....................
kwa siku ya leo tu........
usijali ntakurudishi AD wako wazamani.....hahahhah lol
Mpenzi sasa huku kutojipenda kunaanzia wapi katikati ya ndoa.......... mie nkadhani kama
mtu hajipendi basi ndio tangia mwanzo ...........au alikuwa amejivika ngozi ya kondoo
mpaka aingie ndani?!
[COLOR=darkgreen said:hashycool;[/COLOR]1326986]dieing to know whos that lucky man.....[/QUOTE
mmmhhh naona leo umeamua kunitingia.... safi
umependeza
mmmhhh siwezi sema ni nani lakini ni mmja kati ya walio ni PM jana ...
kwa hiyo ntaondoa hiyo avatar .....lol