Nahisi kulisikia jina hili mahali fulani, kwani ni nani labda,Samahani labda nimetumia jukwaa silo ila naomba mwenye kumfahamu mtajwa hapo juu au ndugu yake yeyote ani pm. Kuna mambo ya msingi ya kufanyanyia kazi. Sio lazima ujibu kama haikuhusu ni bora uache.
hainihusu ila najibu,simfaham.