Habari za humu Watanzania? Samahani nimeingia kikuu ili kuona kama kuna kitu naweza kuchukua ila kuna vitu sijavielewa vizuri ni kuhusu hizo voucher sijaelewa kabisa zinakuwaje kuwaje?
Hawa kikuu siwaelewi kwa kitu kimoja. Kwa nini soko limejaa tu nguo, urembo na vitu vidogo vidogo na hakuna vitu vikubwa kama zana za kilimo na viwanda? Je ni kwa sababu wanaona sisi hatuna uwezo wa kununua? Wanakwepa gharama za usafirishaji? Serikali inawabana au ni nini hasa?
Maana na sisi tungependa kupata vitu vya kufanyia uzalishaji ili kuinua uchumi wetu sio urembo tu. Kiukweli hata ukisachi kompyuta tu Kikuu haimo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.