Nadhani hapo ungesoma AGRICULTURE GENERAL ni kozi nzuri
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Kasome AquacultureHabari wakuu,
Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA.
Pia, soko lake zuri iwe kwenye kujiajiri au kuajiriwa
Nahitaji kuchukua moja wapo hapo nikipewa faida na hasara itanisaidia kutambua wapi nikae.
Mkuu unachanganya Mambo, Animal science na Ambulatory wapi na wapi, wale jamaa hawaruhusiwi ata kutibu kuku, wao wanadeal na management ya wanyama kabla hawajauguakasome animal scienc uje mtaani uambuleti
kumbuka pia bila kuwa registed na vct koz yako itakuwa haina tija kwny jamii
Habari yako mkuu, nitachangia Kwa uelewa wangu juu ya swali lako, Kwanza kabisa ulitakiwa useme Agricultural General, Animal science labda na Horticulture ila sio crop scienceHabari wakuu,
Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA.
Pia, soko lake zuri iwe kwenye kujiajiri au kuajiriwa
Nahitaji kuchukua moja wapo hapo nikipewa faida na hasara itanisaidia kutambua wapi nikae.
Kasome Aquaculture