nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Wameniibia simu na hela,walikuwa wawili maeneo ya Kijitonyama ni namba MC 300 ARS, naombeni msaada ,nifanyeje nimjue owner?
Nenda karipoti polisi, utapata taarifa za mwenye bajaji husikawameniibia sim na help,walikuwa wail suiku maeneo ya kijitonyama ni mamba MC 300 ARS, naombeni massed jamming,nifantyeje nimjue militia?
Hebu tulia uandike una shida gani na unataka nnwameniibia sim na help,walikuwa wail suiku maeneo ya kijitonyama ni mamba MC 300 ARS, naombeni massed jamming,nifantyeje nimjue militia?
Ulevi wako umechangia piawameniibia sim na help,walikuwa wail suiku maeneo ya kijitonyama ni mamba MC 300 ARS, naombeni massed jamming,nifantyeje nimjue militia?
asante kwaa kunitukanaaaaUlevi wako umechangia pia
Wamekuibia kwwnye mazingira gani. Walikupakia wakiwa na abiria wengine kama bosheni halafu kufika mbele wakakukaba,?maana wana wizi huo,,wameniibia simu na hela,walikuwa wawili maeneo ya kijitonyama ni namba MC 300 ARS, naombeni msaada ,nifanyeje nimjue owner?
Wala sio ulevi,,huyo ameibiwa kama abiria,nahisi alikuwa stend, ikaja bajaj ndani ina abiria wawili. Kufika stend inatangaza kama ni tegeta au la mwenge,,we utapanda ukijua abiria wenzio kumbe vibaka bwanaUlevi wako umechangia pia
Acha kudharau wanywaji!kwanza ulijuaje kama kalewa au la ?Ulevi wako umechangia pia
Kwani umepiga ramli?Umejuaje kama mlevi?Anababaika kwa sababu amefanyiwa uhalifu.Halafu,mbona huwa mnahusisha mambo ya hovyo na ulevi tu?Anapokunywa anatumia hela.Hanywi bure.Kama ni rahisi hebu na weye tumia hela kwa kula ugali wa elfu hamsini kila siku peke yako.Ulevi wako umechangia pia
Tuma salamuKwani umepiga ramli?Umejuaje kama mlevi?Anababaika kwa sababu amefanyiwa uhalifu.Halafu,mbona huwa mnahusisha mambo ya hovyo na ulevi tu?Anapokunywa anatumia hela.Hanywi bure.Kama ni rahisi hebu na weye tumia hela kwa kula ugali wa elfu hamsini kila siku peke yako.
Vipi na 0713 walipiga au kubeep?wameniibia simu na hela,walikuwa wawili maeneo ya kijitonyama ni namba MC 300 ARS, naombeni msaada ,nifanyeje nimjue owner?
Mwanaume kutukanwa halafu kusema asante huo ni umama,mwanaume inatakiwa upiganeasante kwaa kunitukanaaaa
Kweli zamani watu walikua wanatumia vizuri JF, ilikua mada ikitolewa, comment ya kwanza tu ilikua inatoa majibu. Siku hizi utasikia nawahi siti.Jf ya siku hizi kama sio upumbavu basi majibu yanayotolewa hayahusiani na mada, kama huna cha kumshauri ni vema kukaa kimya kuliko kuandika mashudu.
Nenda polisi mkuu utasaidika.