kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 May 4, 2012 #21 Nokia Asha 303 ndio naijua ila hiyomia 200 sijui ndio ikoje?
bombu JF-Expert Member Jun 8, 2011 1,127 542 May 4, 2012 #22 heheee, wajukuu wamemgomea babu. Njoo huku kwa mama nanihii mwayego, kuna fundi kahamia hapa chumba cha uwani atakuelekeza kila kitu
heheee, wajukuu wamemgomea babu. Njoo huku kwa mama nanihii mwayego, kuna fundi kahamia hapa chumba cha uwani atakuelekeza kila kitu